dah we noma mkuu,hapa nafahamu tu mlimani parkmambo yote mlimani park, lkn kuna marquis du zaire, matimila, msondo. Bakulutu kuna mwenyewe lwambo, kavasha Orch Veve, dah kwa kweli za zamani zote tamu tuu. Bichuka ktk duniani kuna mambo! Ile sauti ni zaidi ya almasi
mkuu hiyo ngoma ilikuwa inakubalika bila upinzaniVP ILE SONG YA'KISEBENGO'?HII ALIITUNGA ODAX AKIMUIMBA NGUZA VIKINGI ALIYEWATOSA NA KUKIMBILIA ACHIGO HUKU AKIWAKEJERI KWA KUSEMA MAMBO YAKE POA.
HEEEE KISEBENGO!BABAEEEE KISEBENGO!!
HEEEE KISEBENGO BABAAA!KISEBENGO TUMEKUKOSEA NINI BABAAA!
Dah,e bwana acha tuu,ilikua hatari tupu enzi hizo.
baba jeni bai bai
gari nalijua sauti, nalifuta vumbi
gari nalijua kwa honi na muungurumo wake
amechanganyikiwa, hata mimi mke wake hana habari nami
hata watoto wake, hana habari naooo
baada ya bongo fleva kuingia nilipenda mtoto wa geti kali