James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,113
- 13,356
HahaaaaaaaNi kawaida ya mwezi Desemba mkuu, ikifika january hutoona tena wimbi hilo.
HahaaaaaaaNi kawaida ya mwezi Desemba mkuu, ikifika january hutoona tena wimbi hilo.
Nimebadilisha ID siku hizi. We si ulijiona mjanja ngoja nikuendee kwa kuhani MusaYaaan
Sikuwa serious kama ambavyo yeye alikuwa serious, alinipenda mwenyewe … nikaona kabla sijampotezea muda wake mwingi heri nisepe.
Msukuma yule dah, sijui sahii yuko wapi
Ni kawaida ya mwezi Desemba mkuu, ikifika january hutoona tena wimbi hilo.
Wengine tuleft basiWanaume wote wa JF tuna hela, tuna magarisiovi IST na Harrier tako la nyani hizo hapana tunamiliki Range Mercedes Benz na BMW, elimu zetu kuanzia degree first class, ma engineers, tunafanya kazi bank, tuna simu za maana sio vitecno takataka zingine..Wwe inakuaje unatufukuzia bahati?
Hii nafasi kabisa yaani mimi nitakununulia Range Rover Sport ya 2021Hebu na mimi nijaribu bahati yangu ..... natafuta lodi milionea mwenye uwezo wa kunipa trip za ulaya na kuninulia angalau ki range rover
😁😁😁😁
Tupo mkuuHuyo huwezi mpata huku Jf
😂😂😂 Njoo tuyajenge, sahii niko seriousNimebadilisha ID siku hizi. We si ulijiona mjanja ngoja nikuendee kwa kuhani Musa
Wastaarab, wazuri, wenye hofu ya Mungu na wacha Mungu kweli kweli wapo humu inshu ni utajuaje?
Nshakutana na mmoja yupo humu. Mzuri wa kuvutia, mchaMungu, mpole kiasi, yupo natural, full package.
Upo umekaa hapa 🤭Nipo hapa Kama hutajali njoo
Dah shemeji....anyway mrefu kwenda juuMrefu Chini au Mrefu Juu?
Ulizingua sana kipindi kile.Njoo tuyajenge, sahii niko serious
Wakati mwingine siyo kutafuta unakomaanisha wewe.Mimi kama mimi, sijawahi kuamini kwenye kutafuta mpenzi mtandaoni!
Logic yangu ni kwamba, kama wewe ni binadamu wa kawaida, umezaliwa, umekua mpaka umefikia umri wa kuhitaji mpenzi, umeshakutana na MAMILIONI ya watu kuanzia shuleni, mitaani, kanisani, kwenye matukio mbalimbali, sokoni, kazini nk.
Huko kote hujaona anaekufaa?? Mpaka uje kutafuta huku kwa watu wasiojulikana..??? Kweli?? Wewe una matatizo gani? Yaani mpaka ukaamue kucheza pata potea mtandaoni aisee mi nahisi unakua na shida kubwa sana mahali. Huyo ni mimi lakini.
Hata namba sinayo 😂 hapo kati nishabadili simu zaidi ya mara 1Ulizingua sana kipindi kile.
Eti kisa ni msukuma sijui nawaza maisha tu sifikirii ku spend .
Ila anyway nipigie ktk namba yangu ileile mwisho 2
Ukweli mtupu. Mtandaoni tunatafuta kugegedana tuuMimi kama mimi, sijawahi kuamini kwenye kutafuta mpenzi mtandaoni!
Logic yangu ni kwamba, kama wewe ni binadamu wa kawaida, umezaliwa, umekua mpaka umefikia umri wa kuhitaji mpenzi, umeshakutana na MAMILIONI ya watu kuanzia shuleni, mitaani, kanisani, kwenye matukio mbalimbali, sokoni, kazini nk.
Huko kote hujaona anaekufaa?? Mpaka uje kutafuta huku kwa watu wasiojulikana..??? Kweli?? Wewe una matatizo gani? Yaani mpaka ukaamue kucheza pata potea mtandaoni aisee mi nahisi unakua na shida kubwa sana mahali. Huyo ni mimi lakini.
Urefu upi?Natafuta mme....kigezo awe mrefu