Wilson Mukama: Public and Private Profile

Wilson Mkama alishiriki pia kwenye Tume ya Jaji Kisanga, Mkapa alivyowajia juu akakana kuhusika kutengeneza ripoti. Hivyo aliwasaliti wenzake
 
hakuna dhamira hapa. Nape hali yake ni mbaya kwani UKIONDOA WAJUMBE WA KUDUMU, anazungukwa na pro RA and EL. EITHER JMK HANA UHUSIANO MZURI NA TISS (MANAKE TETESI NI KUWA BOSI NI PRO RA) OR ANACHEZA NA PUBLIC MAKUSUDI. HAKUNA JIPYA JAMANI...THE WHOLE SYS. IS CORRUPTED

Mkuu kuna dhamira ambayo naanza kuiona hapa. Nilikuwa najiuliza hawa watu wameteuliwa kwa nguvu ya nani? Sawa ni chama, lakini tunaambiwa kwenye chama kuna kundi la akina RA na EL. Anna makinda tuliambiwa kawekwa na akina RA. Huu uteuzi nao nashawishika kusema kuwa ni wa akina RA kabisa. Huyu KM mpya bila kuuma maneno ni mtu wa EL. Sasa kama nape naye ni EL, sijui hawa wengine, ila wamewekwa kumsindikiza EL ikulu 2015
 
MCHIMBA KABURI HUINGIA YEYE JK KASEMA WANACHUKUA MAAMUZI MAGUMU HAYO NDO MAAMUZI MAGUMU YA KUBADILI NGUO BILA KUOGA SIONI JIPYA KATIKA UTEUZI HUO WANAZIDI KUDIDIMIA ZAKIA MEGHJI FROM ALL THE CCM MEMBER KAMA HAO NI CREAM CCM HAINA WATU. POLENI CCM :help:
 
Nasikia baada ya reforms huko CCM huyu mbambaishaji Kikwete anataka kuifumua TISS upya.Thing is,hawa jamaa kwa sasa wanapuuzwa tu.They were used katika sehemu kubwa ya utawala wa kifisadi,now they are abused after being rendered useless!

That's inevitable pattern.
 
Mbona munahangaika sana na Mukama, Makamba, CCM na uchafu wao?

Kwani nyoka akivua gamba anakuwa mbuzi wa shughuli. Mukama like Makamba is another liability.

Huwezi kubadilisha CCM kwa kubeba kiumbe kingine kilichotumika na CCM kwa miaka yote hiyo na ukategemea eti umefanya changes!

TAKA-TAKA!

Na Slaa mbona naye ametumika kwa ccm?
 
PhD ya kuwalisha watu mkate wa bwana yesu kanisani??????halafu akamsaliti bwana wa mabwana kiaina!!!!!ful mitamaaaa huyu jamaa!!!hi! hi! hi!
 
kwa anaeitakia Tz mema anajua kwa uhakika kuwa ili nchi hii iendelee mbele na kujitoa kwenye lindi la umasikini ililomo, cha kwanza kufanyika ni kuitoa ccm madarakani., ccm kama ilivyo haiwezi kuisaidia hii nchi kupiga hatua yoyote ya maendeleo. kwa wanaoijua ccm, ambayo nayo inajua wazi kuwa haikubaliki tena kwa wananchi bila ya msaada wa dola, wataitazama tena kwa macho ya kebehi., kama mukama, kinana na zakhia ndiyo gamba jipya la kuikomboa ccm, basi mwerevu itabidi atazame la zamani lililotolewa lina tofauti zipi za kimsingi na lilioingia. nadhani haya ni mapenzi ya Mwenyezi Mungu kwa nchi hii kuwa hatimaye hawa jamaa hawana tena pa kutokea wala watu wa kuwasaidia kutoka huko walikojiofikisha. wataishia huko huko huku nchi ikigeuka na kuchukua uelekeo inaostahili kuwamo.
 
PhD ya kuwalisha watu mkate wa bwana yesu kanisani??????halafu akamsaliti bwana wa mabwana kiaina!!!!!ful mitamaaaa huyu jamaa!!!hi! hi! hi!

Punguza Hasira, acha udini na elewa hoja inayoongelewa, wewe Phd yako ni ipi? na inawasaidia vipi WaTZ?, jikomboe kifikra utasaidia kuwakomboa na wengine ndugu.
 
Mukama aliwahi kumponda Keenja kuwa hakufanya lolote la maana alipokuwa m/kiti wa tume ya jiji. Tujiulize jee yeye alifanya lipi alipokuwa mkurugenzi wa jiji baada ya keenja. Anaweza akawa bomu kuliko Makamba, yetu macho:panda:
 
Japo nafahamu ya kuwa bado haijatolewa rasmi na CCM kwamba huyu ndugu Mukama amejitwalia ukatibu mkuu wa CCM, nimeona niwape reflection ya nchi yetu na jinsi tulivyo na muelekeo mbaya. KWa mujibu wa taarifa za kuaminika (Ref. Mwananchi la Leo), huyu ndugu Mukama alihusika moja kwa moja na kufanya tathmini juu ya wizi wa kura wa CCM uliowapa ushindi kiduchu mwaka jana na inasemekana kamati yake ndio iliyotoa recommendations za umuhimu wa CCM "kujivua gamba". Na hili ndilo linalonifanya niongelee muelekeo wa nchi yetu Tanzania.

Ikumbukwe kuwa Mkama ambaye mpaka leo hii ni mfanyakazi wa serikali na kwa maana hiyo analipwa mshahara kwa kutumia kodi za watanzania wote bila kujali itikadi yao ya kisiasa. Sasa najiuliza, anawezaje baada ya hapo kufanya kazi ambayo kimsingi inakusudiwa kukipa chama kimoja ushindi dhidi ya kingine? Katika hili sisemi kwamba hana right ya kuwa mwana CCM, la hasha. Lakini ethics za kikazi zinamruhusu vipi kuwa mfanyakazi wa serikali na hapo hapo wa CCM?

Ikumbukwe pia kuwa Mkurugenzi anekaimu wa Daily New anyeye pia akiwa mfanyakazi wa CCM aliwahi kuandika editorial wakati wa uchaguzi mwaka jana akisema wazi na namnukuu, "Slaa asahau kwamba anaweza kuuchukua uraisi" kwa maana kuwa alikuwa akiipigia campaign CCM. Ni lipi sasa linalofanya magazeti ya TSN (Daily News na Habari leo) yatambulike kama ya serikali na ya-exist kwa kodi ya watanzania wapatao milioni 43 wakati yanafanyakazi za CCM yenye wanachama wasiozidi milioni 5 kwa mijimu ya takwimu zao wenyewe ambazo naamini zimechakachuliwa?

Niseme wazi kuwa simjui huyu ndugu Mukama lakini ile tu kwamba alikuwa akifanya kazi bega kwa bega na CCM wakati anaishi kwa kodi ya walalahoi ambao wengine si CCM inamfanya nayeye kuwa fisadi kama mafisadi wengine. Vinginevyo, Hawa Ghasia atueleze alitumia vigezo vipi kusitisha mkataba wa Prof. Baregu kwasababu tu ya kugombea uongozi CHADEMA. Au ni vigezo vipi vilitumika kumkatisha kazi Prof. Safari kazi yake pale katika chuo cha diplomasia kurasini?

Na ni kipi kinachofanya kuwa hadi leo baada ya miaka zaidi ya 10 ya kutofanya kazi UDSM, kwanini bado Prof. Lipumba anatambulika kama mkufunzi alie likizo ya kikazi ilhali amekuwa mwenyekiti wa CUF katika miaka yote hii? Wasiwasi wangu ni kwamba sheria tofauti zinatumiwa kushughulikiwa masuala yaliyo sawa. Nini mwisho wa yote haya?

Ama kweli katiba mpya inahitajika Tanzania.

Hivi niniyi nanyi? mfanyiwe lipi jema? nani mnataka? ethics za serikali zinakataza kufanya mambo ya chama during working ours, nje ya hapo unaruhusiwa sana tu, na cha msingi usilete ushabiki wako wa vyama kazini. soma vizuri ethics za kazi watu mnachanganya sana labda hamjui haki zenu.
Pili, hakuna aliyemsafi in any way, tukiamua kumpima kila mtu asiyefisadi hatumpati hata mmoja, sure telling u tumezidiana tu capacity, hadi huko majumbani kwetu kwenye familia zetu, mtoto akitumwa harudishi chenji, mama hajui mshahara wa baba, ofisini vivocha vya uwongo mwingi? kazi hufanyi ipasavyo, hakuna laiyemsafi bwana, basi tukamtoe mbinguni.
Acheni kuwatishwa watu mizigo nyie msioweza kuigusa hata kwa kidole.
 
Nyoka ndie huvua magamba yake"ngozi ya juu". Ina maana CCM ni kama Nyoka. Na kwa nyoka asili yake Shetani!! Na Nyoka huvua gamba lake lote na la kichwa. Mbona Kikwete ndo kichwa cha CCM hakuvuliwa!! Kwani Membe, Mkuchika na Chiligati ni mafisadi mpaka tuseme chama kimejisafisha????

Naomba kuuliza hivi CCM ni ya wananchi au wanachama? mbona wasi wanachama wanapiga sana kelele inawahusu?
 
Kwa sasa hakuna mwana ccm yeyote hata akiwa msafi namna gani atakayeweza kuisafisha bila kuia kabisa. Ili mbegu iote lazima kwanza ifukiwe na kisha imee. Ccm ni kama mbegu iliyokomaa sasa inahitaji kuzaliwa upya "i mean it must dissolve anyhow".
 
Matatizo ya watanzania kupoteza matumaini ya maisha katika Nchi yao iliyojaliwa rasilimali za kutosha kutokana na utawala dharimu wa ccm hauwezi kuondolewa na Mukama wala Nappe, swala hapa ni KAIBA mpya na Chama mbadala kitakachoisimamia Katiba hiyo mpya kwa maslahi ya Watanzania walio wengi.
 
Hapa ndipo tunapopata ushahidi usio na shaka yoyote kwamba CCM huwa inabebwa na wakurugenzi wa hizi halmashauri zetu wakati wa uchaguzi, hauitaji degree kulithibitisha hili.
 
Kwetu sisi tunaoichukia sana CCM tunafurahia uteuzi wa watu wasiofaa kuendelea kuongoza chama hiki cha majambazi kinachoelekea kufa. Safi sana!
 
Mlioko Dodoma mtuthibitishie uteuzi huu. Nina mashaka na jina hili la Mukama kwani sio MNEC.
 
Back
Top Bottom