nimepata faraja kwa mtandao wa wikileaks kuonyesha ni jinsi gani serikali anavyokumbatia watuhumiwa wakuu wa rushwa na kikwete kutokuwa na dhamira ya kupigana na rushwa.
hivi hakuna taarifa kutoka wikileaks zinazoonyesha balali alipo?huyu naye ni kiungo muhimu ktk suala zima la rushwa hapa tz,hivi kweli hatuwezi kupata taarifa za kuweza kuendelea kutufumbua sisi taifa la wadanganyika?
hivi hakuna taarifa kutoka wikileaks zinazoonyesha balali alipo?huyu naye ni kiungo muhimu ktk suala zima la rushwa hapa tz,hivi kweli hatuwezi kupata taarifa za kuweza kuendelea kutufumbua sisi taifa la wadanganyika?