Realbest
JF-Expert Member
- Aug 5, 2013
- 811
- 293
Ugonilesijui kijiji gani mkuu , Kwetu Kyela kuna option , ni DSTV na AZAM kwahiyo watu wengi wanahangaika na soka na tamthilia , si tbc hata chembe !
Sent using Jamii Forums mobile app
Ugonilesijui kijiji gani mkuu , Kwetu Kyela kuna option , ni DSTV na AZAM kwahiyo watu wengi wanahangaika na soka na tamthilia , si tbc hata chembe !
E loli eeKuna kantalambe,ngoreme nk,waliopata Umeme wa rea hivi karibuni,kyela & tukuyu kumeendelea kitambo mkuu,hata hvyo Dar yenyewe kugharamia kifurushi kwa sasa ni mbinde.
Unajua hawa wamiliki wa local channel wanatafuta huruma wasiyostahili. Hivi zamani zile gharama za kusimika na kuendsha minara ya kurusha matangazo si kila mtu alikuwa anajigharamia mwenyewe? Sasa leo hizo gharama za kurusha matangazo hawataki kuzilipa kwanini? Miaka 8 hizo gharama tumebebeshwa walaji wao wakaona ndio sheria, kumbe walikuwa wanafanyiwa fadhila, leo sheria imechukua mkondo,wawalipe Startimes, Continental na Ting ili warushiwe matangazo yao, kwani hao ndio wenye leseni za kurusha FTA channels. Vinginevyo waendelee tu kula vumbi.
Wanawatapeli kivipi? Ile ni commercial tv station,serikali inasema warushe matangazo bure kwa tv za ndani walipogoma ndiyo wakazushiwa la kutokuwa na leseni,kumbuka Tbc yenyewe inaendeshwa kwa kodi zetu na startimes wana undugu na serikali ya ccm!
Tatizo anamuogopa SUGUHivi mbeya kwa nn anakwepa, ili hali alikuja kuomba kura na hakupata 0 bali kuna kiasi cha kura alivuna. Kwa mfano iringa ndo maeneo aliyipata kura kiduchu lkn kafika, why not mbeya?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ayubu Ryoba anashinda humu 24/7Hehehe tuseme hakuna member humu anae fanya kazi hapo awaambie wenzie jinsi wanavyo chukuliwa Jf
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanunue king'amuzi chenye channel wanazohitajiSasa wateja wa DSTV na Azam hawatakaa wazione tena hizo local channels? Je nini kinafuata? wateja wa Dstv na Azam wafanye nini kupata local channels bila kuongeza gharama? Ahsante
Kwani watu wanajua impact hii basi, mimi tangu ITV ipotee kwenye king'amuzi changu watoto wanaangalia cartoon tu, TBC sihitaji hata kuisikia.Tunapoelekea kama local chanel zitapotea na wazamini nao wa matangazo watapotea na ndio kitakuwa chanzo cha kufilisika na watu kupunguzwa kazini
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwaka 2020 atakuja au haji ?
Unapataje bao mbili kwa kuangalia porn ?sasa wewe porno unaona jambo dogo? usilinagnishe porno na vitu visivyo na maana au hujuinkuwa wengine tuna jeuri kwa mademu kwa ajili ya porno?unachek porno unapata bao zako mbili hina haja ya mademu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata wewe mtoto wa magufuli hutaki kuangalia tbc ?Hata Kama Sina kazi Bora nilale, eti uzalendo Ni kuangalia tbc muda wote wakimsifia jiwe na chama chake chakavu....
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakifikia hatua ya kusema mwanaume mmoja mke mmoja watakuwa wanatafuta ugomvi na magufuliIvii kuna watu serikalini wamemiss zile enzi za Ukoloni?? Mbona kama tunarudi kule kwa zamani!.... maana channel moja nasikia na line moja mwisho tutaambiwa gari moja moja nyumba moja moja mtoto mmoja
Sent using Jamii Forums mobile app
Utadhani wao peke yao ndio wanaoumiaUnajua hawa wamiliki wa local channel wanatafuta huruma wasiyostahili. Hivi zamani zile gharama za kusimika na kuendsha minara ya kurusha matangazo si kila mtu alikuwa anajigharamia mwenyewe? Sasa leo hizo gharama za kurusha matangazo hawataki kuzilipa kwanini? Miaka 8 hizo gharama tumebebeshwa walaji wao wakaona ndio sheria, kumbe walikuwa wanafanyiwa fadhila, leo sheria imechukua mkondo,wawalipe Startimes, Continental na Ting ili warushiwe matangazo yao, kwani hao ndio wenye leseni za kurusha FTA channels. Vinginevyo waendelee tu kula vumbi.