successiful dreamer
Senior Member
- Sep 10, 2019
- 103
- 189
Habari yenu wanajamvi? Natumaini mnaendelea vyema na juhudi za kujitafutia mkate wa kila siku.
Kinachonileta mbele yenu ni hawa Dstv nimeshindwa kuwaelewa. Kifurushi changu kimeisha na kuna channels za hapa Tanzania nazo wameziondoa. Channels zilizoondolewa ni Star Tv, Wasafi Tv, Tanzania Safari Channel na Tv E. Channels walizobakiza ni Tbc1, Itv, Eatv, Chnnel Ten na Upendo Tv.
Ambacho kinanipa ukakasi hizo channels walizoziondoa siyo local channels na wanatumia kigezo gani kuziondoa?
Mwenye kujua sababu au anayeumizwa na hili jambo karibu uchangie chochote.
Kinachonileta mbele yenu ni hawa Dstv nimeshindwa kuwaelewa. Kifurushi changu kimeisha na kuna channels za hapa Tanzania nazo wameziondoa. Channels zilizoondolewa ni Star Tv, Wasafi Tv, Tanzania Safari Channel na Tv E. Channels walizobakiza ni Tbc1, Itv, Eatv, Chnnel Ten na Upendo Tv.
Ambacho kinanipa ukakasi hizo channels walizoziondoa siyo local channels na wanatumia kigezo gani kuziondoa?
Mwenye kujua sababu au anayeumizwa na hili jambo karibu uchangie chochote.