Why wanawake hawapendi serious things?

Mambo yakiwa systematic sana sometimes yanaboa sana sana, wakati mwingine ni muhimu kupitia mambo ambayo hujayazoea kabisa ili mambo yawe muswano



amen.n that plays both kwa wanawake na wanaume
 
Kwani kusoma mwananchi, Raia mwema ndio kuwa serious? Nilikuwa mshabiki mkubwa wa magazeti fulani fulani ulipokaribia uchaguzi 2000 yakawa kama ya udaku vile. Kwa sasa napenda kusoma ya udaku si kwa kufuata udaku napenda Riwaya si kila siku kuumiza kichwa, leo Bilioni 10 zimeibiwa kesho mshtakiwa yuko huru, leo Zombe kaua kesho kashinda kesi, leo Chengee..... kesho lowasa.... TRAFIKI AFUNGWA KWA KUPOKEA NYAMA NA MCHELE..... Aaaah bora udaku! Lakini hata sisi wanaume tunaongoza kwa kununua magazeti ya sports kuliko hayo unayoyataka. Siku hizi ukiona nanunua hayo magazeti huwa naangalia sana matangazo........ Nafasi za kazi n.k
 
Ktk maisha ukiwa too serious watakusema pia,kila kitu kwa kiasi,maisha bila hayo yote hayajakamilika..ila mwanamke akiwa serious sn haipendez kabisa!
 
Wanaongoza kwa kusoma magazeti ya udaku, wanaongoza kwa kupenda kuangalia ze komedi, futuhi, majuto nk. Wanamshangaa mtu anayenunua na kusoma raia mwema, rai, mwanahalisi, mwananchi nk.

Hawapendi kuangalia taarifa za habari kwenye TV CNN, BBC, Skynews kwao ni kituo cha polisi. Wanapenda movie za kipuuzi za akina kanumba, wanapenda tamthiliya za kipuuzi za Amerika ya kusini na Ufilipino zilizojaa kwenye televisheni zetu za kichovu.







Wanapenda nyimbo za kichovu za bongo fleva kama mpenzi jini, kidato kimoja. Huwakuti kwenye makongamano serious kama ya kujadili katiba, Azimio la Arusha na utawala bora lakini wanajaa kwenye makongamano ya kuwatambulisha akina p-square.

Wanapenda sana kula chips mayai, non serious food, Hawampendi Slaa, wanampenda Kikwete may be because hayupo serious. Hawapendi masomo ya Sayansi but wanapenda sana na kufaulu topic ya reproduction ya form 3.

Wanapendelewa bungeni and hawapendi kupambana majimboni.

Ukija jf wengi utawakuta kwenye majukwaa ya udaku na mapenzi, jukwaa la sSasa na International ni wa kuwahesabu...etc

Halafu eti wanataka usawa.

NIMEKUWA NIKIJIULIZA SANA WHY WANAWAKE HAWAPENDI YALE MAMBO SERIOUS?

mambo gani yaliyo serious katika dunia hii? huyo mwenye hizo sifa ulizoandika ni wa kwako labda anazo,mie sipo hivyo ulivyoandika vyote niko against navyo. pole!
 
Wanaongoza kwa kusoma magazeti ya udaku, wanaongoza kwa kupenda kuangalia ze komedi, futuhi, majuto nk. Wanamshangaa mtu anayenunua na kusoma raia mwema, rai, mwanahalisi, mwananchi nk.

Hawapendi kuangalia taarifa za habari kwenye TV CNN, BBC, Skynews kwao ni kituo cha polisi. Wanapenda movie za kipuuzi za akina kanumba, wanapenda tamthiliya za kipuuzi za Amerika ya kusini na Ufilipino zilizojaa kwenye televisheni zetu za kichovu.

Wanapenda nyimbo za kichovu za bongo fleva kama mpenzi jini, kidato kimoja. Huwakuti kwenye makongamano serious kama ya kujadili katiba, Azimio la Arusha na utawala bora lakini wanajaa kwenye makongamano ya kuwatambulisha akina p-square.

Wanapenda sana kula chips mayai, non serious food, Hawampendi Slaa, wanampenda Kikwete may be because hayupo serious. Hawapendi masomo ya Sayansi but wanapenda sana na kufaulu topic ya reproduction ya form 3.

Wanapendelewa bungeni and hawapendi kupambana majimboni.

Ukija jf wengi utawakuta kwenye majukwaa ya udaku na mapenzi, jukwaa la sSasa na International ni wa kuwahesabu...etc

Halafu eti wanataka usawa.

NIMEKUWA NIKIJIULIZA SANA WHY WANAWAKE HAWAPENDI YALE MAMBO SERIOUS?

Wanawake wawe serious ili iweje babu?Kwanza ningekuwa na uwezo,ningepiga marufuku wanawake kufanya kazi.Wakae nyumbani tu watunze familia na kujipodoa.Nikitoka mzigoni bibiye anipe tabasamu pana,anibembeleze,anibanie pua,anipe raha...dah acha tu!Siyo unarudi nyumbani,demu hajarudi bado.Akirudi hakuna cha romance wala nini,mastori ya majimbo ya uchaguzi tuu,kina Mbowe,Kikwete wapi na wapi.Siku nikioa,nitatafuta darasa la saba au form four mtundu flani/mcheshi anipe raha.Mambo ya Masters/PhD siyawezi,sitaki kufa mapema kwa ma stress na magonjwa ya moyo!!
 
haina haja ya kuwa serious sana na maisha haya, kila kitu kichukulie easy easy fulani maisha yaende
 
hii sredi kali sana.

Kwa mwanaume:Ukitoka kazini nunua vijarida vya udaku,jirani kodisha picha ya Kanumba mpelekee mkeo nakwambia ukifinya hivi mwezi mzima lazima anawiri kwani umesatsfy ubongo wake vilivyo.

Samahani wadada
 
Ukiwa unazungumzia au kusema neno 'serious' hapo tayar unamkusudia mwanaume moja kwa moja.c ndiyo asil yake (nature) ni kwa sbb ya beijing tu..hujui shughul ya mwanamke ww? Akae ndan alee watoto.na kuangalia kanumba..!umeniangusha sana mtoa mada.
 
Wewe na wewe sio wote na hata hivyo unadhani watu wote wakiwa serious utabembelezwa na nani ukirudi na mastress yako kazini,umkute na Mke yupo serious na mambo yake si utalala mmepeana migongo kwa kufikiria vitu serious vya maisha
 
We are very different tutabaki ver delicate creatures we ladies n men watabaki walivyo, we will never be the same! I am feminist bt siamini katika kuwa we will be the same a single day coz kila mmoja ana strenghs zake, a man will never bare a child and I will never run like a man, so we have our extremes wana za kwao ver different, ndo maana Mungu alituumbua tofauti for a purpose to complement each other asichoweza mwanaume a lady will and vice versa. Ila maisha yamebadilika sana nowdays wanawake tunahitajika kuwa like men in actions to fill the gap walioicha wanaume. Hapa sasa tusi kwa wakaka wa kibongo mnapenda kutunzwa sana nowdays mnasahau wajibu wenu the providers of the family. Nina strong bond na baba yangu so mambo yangu mengi nayapeleka kiume with t nahisi I am nt ok I need to be a woman my true nature.
 
Wengi wanapenda Cherekochereko ya Tbc, ukimzui patachimbika

teh teh! hapa sasa naona mnatoa siri za tabia za wake zenu siyo wote jamani! ha ha ha! mh ila cherekochereko naipenda huwa inanikumbusha enzi hizoooooooooo!
 
Back
Top Bottom