Wanaongoza kwa kusoma magazeti ya udaku, wanaongoza kwa kupenda kuangalia ze komedi, futuhi, majuto nk. Wanamshangaa mtu anayenunua na kusoma raia mwema, rai, mwanahalisi, mwananchi nk.
Hawapendi kuangalia taarifa za habari kwenye TV CNN, BBC, Skynews kwao ni kituo cha polisi. Wanapenda movie za kipuuzi za akina kanumba, wanapenda tamthiliya za kipuuzi za Amerika ya kusini na Ufilipino zilizojaa kwenye televisheni zetu za kichovu.
Wanapenda nyimbo za kichovu za bongo fleva kama mpenzi jini, kidato kimoja. Huwakuti kwenye makongamano serious kama ya kujadili katiba, Azimio la Arusha na utawala bora lakini wanajaa kwenye makongamano ya kuwatambulisha akina p-square.
Wanapenda sana kula chips mayai, non serious food, Hawampendi Slaa, wanampenda Kikwete may be because hayupo serious. Hawapendi masomo ya Sayansi but wanapenda sana na kufaulu topic ya reproduction ya form 3.
Wanapendelewa bungeni and hawapendi kupambana majimboni.
Ukija jf wengi utawakuta kwenye majukwaa ya udaku na mapenzi, jukwaa la sSasa na International ni wa kuwahesabu...etc
Halafu eti wanataka usawa.
NIMEKUWA NIKIJIULIZA SANA WHY WANAWAKE HAWAPENDI YALE MAMBO SERIOUS?
Hawapendi kuangalia taarifa za habari kwenye TV CNN, BBC, Skynews kwao ni kituo cha polisi. Wanapenda movie za kipuuzi za akina kanumba, wanapenda tamthiliya za kipuuzi za Amerika ya kusini na Ufilipino zilizojaa kwenye televisheni zetu za kichovu.
Wanapenda nyimbo za kichovu za bongo fleva kama mpenzi jini, kidato kimoja. Huwakuti kwenye makongamano serious kama ya kujadili katiba, Azimio la Arusha na utawala bora lakini wanajaa kwenye makongamano ya kuwatambulisha akina p-square.
Wanapenda sana kula chips mayai, non serious food, Hawampendi Slaa, wanampenda Kikwete may be because hayupo serious. Hawapendi masomo ya Sayansi but wanapenda sana na kufaulu topic ya reproduction ya form 3.
Wanapendelewa bungeni and hawapendi kupambana majimboni.
Ukija jf wengi utawakuta kwenye majukwaa ya udaku na mapenzi, jukwaa la sSasa na International ni wa kuwahesabu...etc
Halafu eti wanataka usawa.
NIMEKUWA NIKIJIULIZA SANA WHY WANAWAKE HAWAPENDI YALE MAMBO SERIOUS?