Why wanawake hawapendi serious things?

Tolowski

Senior Member
Apr 28, 2011
122
20
Wanaongoza kwa kusoma magazeti ya udaku, wanaongoza kwa kupenda kuangalia ze komedi, futuhi, majuto nk. Wanamshangaa mtu anayenunua na kusoma raia mwema, rai, mwanahalisi, mwananchi nk.

Hawapendi kuangalia taarifa za habari kwenye TV CNN, BBC, Skynews kwao ni kituo cha polisi. Wanapenda movie za kipuuzi za akina kanumba, wanapenda tamthiliya za kipuuzi za Amerika ya kusini na Ufilipino zilizojaa kwenye televisheni zetu za kichovu.

Wanapenda nyimbo za kichovu za bongo fleva kama mpenzi jini, kidato kimoja. Huwakuti kwenye makongamano serious kama ya kujadili katiba, Azimio la Arusha na utawala bora lakini wanajaa kwenye makongamano ya kuwatambulisha akina p-square.

Wanapenda sana kula chips mayai, non serious food, Hawampendi Slaa, wanampenda Kikwete may be because hayupo serious. Hawapendi masomo ya Sayansi but wanapenda sana na kufaulu topic ya reproduction ya form 3.

Wanapendelewa bungeni and hawapendi kupambana majimboni.

Ukija jf wengi utawakuta kwenye majukwaa ya udaku na mapenzi, jukwaa la sSasa na International ni wa kuwahesabu...etc

Halafu eti wanataka usawa.

NIMEKUWA NIKIJIULIZA SANA WHY WANAWAKE HAWAPENDI YALE MAMBO SERIOUS?
 
Mtazamo wako upo sawa ila 100% jibu unalo.

Siongezi neno staki kusutwa ila umesema ukweli mtupu (Note: There is no chromosomes attachment with this madai ni acquired tabia tu)
 
kwa sababu wapo kwa ajili ya kunogesha, mwanaume unapokuwa serious yeye anakufanya u smile kidogo ujiachie kiasi usijepata gonjwa la moyo.
they are flowers meen!
 
Nafikiri na wale wakaka wanaoonekana wamechomoza kwenye magari na magazeti yao ya udaku watakuwa na tabia za kike. Sample yako ikoje brother na ilichukuliwa maeneo/mazingira gani?

Umenifanya nitabasamu nilipokumbuka picha iliyowahi kutoka front page Mwananchi bwana Freeman Mbowe akijipigia zake 'zege' huko Rukwa.
 
Wanaongoza kwa kusoma magazeti ya udaku! Wanaongoza kwa kupenda kuangalia ze komedi,futuhi,majuto nk!wanamshangaa mtu anayenunua na kusoma raia mwema,rai,mwanahalisi,mwananchi nk!hawapendi kuangalia taarifa za habari kwenye tv!cnn,bbc,skynews kwao ni kituo cha polisi!wanapenda movie za kipuuzi za akina kanumba!wanapenda tamthiliya za kipuuzi za amerika ya kusini na ufilipino zilizojaa kwenye televisheni zetu za kichovu! Wanapenda nyimbo za kichovu za bongo fleva kama mpenzi jini,kidato kimoja! Huwakuti kwenye makongamano serious kama ya kujadili katiba,azimio la arusha na utawala bora lakini wanajaa kwenye makongamano ya kuwatambulisha akina p-square!! Wanapenda sana kula chips mayai,non serious food! Hawampendi slaa,wanampenda kikwete may be because hayupo serious! Hawapendi masomo ya sayansi but wanapenda sana na kufaulu topic ya reproduction ya form 3! Wanapendelewa bungeni and hawapeni kupambana majimboni! Ukija jf wengi utawakuta kwenye majukwaa ya udaku na mapenzi,jukwaa la siasa na international ni wa kuwahesabu!...etc Halafu eti wanataka usawa! NIMEKUWA NIKIJIULIZA SANA WHY WANAWAKE HAWAPENDI YALE MAMBO SERIOUS?

Huu usawa utatekelezeka mpaka nyeti zetu zikifanana..kwa sasa acha mwanaume awe mwanaume na mwanamke awe mwanamke..

Acha ushambenga!..eti non-serious food!..mbayuwayu wewe!!
 
Mwanamke ameumbwa awe hivyo, Binafsi mwanamke akiwa serious sana kila saa ananiletea habari za slaa na kikwete sjui gadaffi kaiteka bengazi aaaargh napiga na chini.
 
"And what are you here for?" enquired the mother-in-law.
"AS FOR ME, I'M HERE JU
Image1.gif

ST TO ENTERTAIN YOUR SON!!!!!"

 
Mwanamke ua baba, ukiwa down it refreshes you lol:A S-rose::A S-rose::A S-rose:
 
hao ndio wana---wake so kinyume chake ndo wanaumeif mwanume ni serious basi kinyume chake mwanamke unserioussimple deduction!
 
Nimetafakari sana nikaona wewe umedodoshwa toka mbinguni ndio maana ukaanzisha thread hii! Ungezaliwa na mwanamke ..................
 
Wanaongoza kwa kusoma magazeti ya udaku! Wanaongoza kwa kupenda kuangalia ze komedi,futuhi,majuto nk!wanamshangaa mtu anayenunua na kusoma raia mwema,rai,mwanahalisi,mwananchi nk!hawapendi kuangalia taarifa za habari kwenye tv!cnn,bbc,skynews kwao ni kituo cha polisi!wanapenda movie za kipuuzi za akina kanumba!wanapenda tamthiliya za kipuuzi za amerika ya kusini na ufilipino zilizojaa kwenye televisheni zetu za kichovu! Wanapenda nyimbo za kichovu za bongo fleva kama mpenzi jini,kidato kimoja! Huwakuti kwenye makongamano serious kama ya kujadili katiba,azimio la arusha na utawala bora lakini wanajaa kwenye makongamano ya kuwatambulisha akina p-square!! Wanapenda sana kula chips mayai,non serious food! Hawampendi slaa,wanampenda kikwete may be because hayupo serious! Hawapendi masomo ya sayansi but wanapenda sana na kufaulu topic ya reproduction ya form 3! Wanapendelewa bungeni and hawapeni kupambana majimboni! Ukija jf wengi utawakuta kwenye majukwaa ya udaku na mapenzi,jukwaa la siasa na international ni wa kuwahesabu!...etc Halafu eti wanataka usawa! NIMEKUWA NIKIJIULIZA SANA WHY WANAWAKE HAWAPENDI YALE MAMBO SERIOUS?

Nilikuwa sijui kama wewe ni Mwanamke!
 
Wanaongoza kwa kusoma magazeti ya udaku! Wanaongoza kwa kupenda kuangalia ze komedi,futuhi,majuto nk!wanamshangaa mtu anayenunua na kusoma raia mwema,rai,mwanahalisi,mwananchi nk!hawapendi kuangalia taarifa za habari kwenye tv!cnn,bbc,skynews kwao ni kituo cha polisi!wanapenda movie za kipuuzi za akina kanumba!wanapenda tamthiliya za kipuuzi za amerika ya kusini na ufilipino zilizojaa kwenye televisheni zetu za kichovu! Wanapenda nyimbo za kichovu za bongo fleva kama mpenzi jini,kidato kimoja! Huwakuti kwenye makongamano serious kama ya kujadili katiba,azimio la arusha na utawala bora lakini wanajaa kwenye makongamano ya kuwatambulisha akina p-square!! Wanapenda sana kula chips mayai,non serious food! Hawampendi slaa,wanampenda kikwete may be because hayupo serious! Hawapendi masomo ya sayansi but wanapenda sana na kufaulu topic ya reproduction ya form 3! Wanapendelewa bungeni and hawapeni kupambana majimboni! Ukija jf wengi utawakuta kwenye majukwaa ya udaku na mapenzi,jukwaa la siasa na international ni wa kuwahesabu!...etc Halafu eti wanataka usawa! NIMEKUWA NIKIJIULIZA SANA WHY WANAWAKE HAWAPENDI YALE MAMBO SERIOUS?

Baasi baasi mkuu..yani nimeanza kusoma hii thread nimejikuta naflow verses zaidi tongue twister.duh!duh! duh! eebwaneeeee!
unaotaaaa!au?
ngoja nikwambie kitu siyo wanawake tu hawako sirious bali hata sisi wanaume hatuko sirious.we sema watz wengi hawapo sirious-hebuniambie ni watz wangapi unaowafahamu wenye ajira zaidi ya moja ukiachana malecturers,walimu na madaktari?
 
Baasi baasi mkuu..yani nimeanza kusoma hii thread nimejikuta naflow verses zaidi tongue twister.duh!duh! duh! eebwaneeeee!
unaotaaaa!au?
ngoja nikwambie kitu siyo wanawake tu hawako sirious bali hata sisi wanaume hatuko sirious.we sema watz wengi hawapo sirious-hebuniambie ni watz wangapi unaowafahamu wenye ajira zaidi ya moja ukiachana malecturers,walimu na madaktari?

Acha kutuletea za huko ulaya kwa wabeba boksi, Tanzania ajira ni za kwa mwezi na si kwa masaa hivyo kuwa na ajira mbili au zaidi kwa siku haiwezekani
 
Back
Top Bottom