mwachine mzee watu apumzike. tujaribu kuendeleza utamaduni wetu wa kutokuwachonoa viongozi wakuu yaani state leaders wanapomaliza muda wao,hii ndio ya Tanzania iliyojijengea tangu zamani.
thx
Ni yeye mwenyewe anayelikoroga!
Awe makini na muwazi anapotaja mapungufu ya awamu zilizopita lakini zaidi ya awamu ya sasa ili nayo ijirekebishe mapema kutuondolea muendelezo wa lawama kwa kila Rais anayemaliza muda wake.
Mzee Mwinyi bado ni kiongozi wa juu ndani ya chama tawala (CC, NEC) hivyo anayo nafasi ya kukemea akasikilizwa, akawasemea wanachama wanyonge na wananchi. Hafanyi hivyo!!
Hotuba zake zina taswira ya kuwalinda watawala na si wananchi.
Niambie iweje Mwinyi akiwa ndani ya CC ya CCM amsifie JK pasipo kumshauri au kushauri chama kuchukua hatua kwa Kiongozi aliyethibitika dhahiri kukiuka maadiri ya uongozi walau ya kuficha ukweli wa mali anazomiliki na kuzificha nje ya nchi? Yapo yasiyostahili kusubiri SFO achiria mbali TAKUKURU!!!
Yeye yoko upande gani???