Excuse me Mr. Story Teller,
so baada ya ujamaa kufa, what happened to the Kunguni?
Baada ya kufa Ujamaa NJAMA za KUNGUNI zilikua zinaelekea katika mafanikio. Kifo cha muasisi wa ujamaa kilipotokea KUNGUNI wakatangaza USHINDI wakiongozwa na Kunguni mkuu BENJAMIN WILIAM MKAPA wakafungulia HAZINA za TAIFA wakachota, wakapora wakagawana NGAWIRA maliya WATANZANIA kama Jeshi la uvamizi. SOMENI KATIKA MISTARI KUNGUNI HAWA Wametoka mbali, and their have come so far!! its TIME WE STAND UP AND SAY TO THEM ENOUGH IS ENOUGH.