Mwananchi wa Mwanza,Bukoba,Sumbawanga,Songea ,Shinyanga,Arusha etc anajali nini na Zanzibar?
Ningekuwa mbunge wa SISIEM nawakilisha majority ya Wabara,ningeomba hoja ya kuvunja huu the so called Muungano,na kuwaachia mayahe wawe na serikali yao.
Sana sana wataanzisha serikali ya kiislamu,na pengine Sharia law.Tuona wa Unguja na wapemba watakwenda vipi,uafrika na uarabu utakuwaje huko.Tangu enzi ya Nyerere makanisa yalikuwa yanachomwa moto,kwa hiyo tutapata zaidi haya ya kidini.
Kama mwananchi wa kawaida i care less about Zanzibar na mambo yao,ni wastage of time .
Ningekuwa mbunge wa SISIEM nawakilisha majority ya Wabara,ningeomba hoja ya kuvunja huu the so called Muungano,na kuwaachia mayahe wawe na serikali yao.
Sana sana wataanzisha serikali ya kiislamu,na pengine Sharia law.Tuona wa Unguja na wapemba watakwenda vipi,uafrika na uarabu utakuwaje huko.Tangu enzi ya Nyerere makanisa yalikuwa yanachomwa moto,kwa hiyo tutapata zaidi haya ya kidini.
Kama mwananchi wa kawaida i care less about Zanzibar na mambo yao,ni wastage of time .