Kwa habari ya Zanzibar: Kama vipi kila mtu arudi kwao!

Buchanan

JF-Expert Member
May 19, 2009
13,199
1,969
Unaweza kunilaumu upendavyo, kwamba ni mbaguzi lakini hali ilivyo Zanzibar ni kwamba Waarabu au wenye asili hiyo hawaivi kabisa na Wabantu au Wazanzibara kama ukipenda! Waarabu wanataka kudominate Zanzibar dhidi ya Wabantu. Waarabu hawataki Muungano kwa kuwa utawafanya wawe chini ya Wabantu ambao ni Wabara! Wabantu nao wanawaona Waarabu kuwa ni wa kuja tu, wanahofia kuwa watarudisha mamlaka ya Kisultani Zanzibar.

Nasikia Maalim Seif alipojitangaza mshindi Zanzibar, huko Oman walifurahi sana kwa kuwa waliona walichokisubiri muda mrefu kiko mlangoni. Well, whether hicho ni kweli au la sina uthibitisho kamili, lakini lililo dhahiri ni kwamba Zanzibar kuna "Uarabu" na "Uafrika", that is it! Mengine yote ni cosmetics tu!

Wayahudi walikaa Ulaya kwa karne nyingi lakini walipoona wanaonewa na Wazungu, hasa Hitler alipowaua Wayahudi wapatao milioni 6 waliamua kurudi kwao na kuunda taifa jipya la Israel mnamo mwaka 1948, as simple as that!

Huko Zanzibar nako kama kuna watu wanahisi wanabaguliwa kwa sababu ya asili walikotoka sioni kwa nini wasiwaige Watahudi wakarudi kwao, as simple as that! Sio lazima wakaunde Taifa, wanaweza kujichanganya na "wenzao" maana birds of the same feather flock together!

Ujumbe ulishatolewa na CCM, japokuwa radhi iliombwa baadaye lakini message ilikuwa "SENT AND DELIVERED" kwamba Waarabu au wenye asili ya huko hawana chao Zanzibar, implication ni kwamba warudi home! Ni mawazo yangu anyway, I may be wrong!

Yule mama Asha, marehemu, naye alidai kuwa CCM haiko tayari kukabidhi Zanzibar kwa njia ya karatasi, CUF sijajua kwa nini hawataki kuelewa somo ambalo hata Jecha ameliendeleza, Magu mwenyewe amedai atalinda nchi dhidi ya wanaoleta fyoko fyoko, "mpaka PEMBA!"bado somo halipandi tu? Things are more complicated than you might thought! Fikirieni Plan B ya kurudi HOME, otherwise mkubali kuwa chini ya Wazanzibara!
 
Unaweza kunilaumu umendavyo, kwamba ni mbaguzi lakini hali ilivyo Zanzibar ni kwamba Waarabu au wenye asili hiyo hawaivi kabisa na Wabantu au Wazanzibara kama ukipenda! Waarabu wanataka kudominate Zanzibar dhidi ya Wabantu. Waarabu hawataki Muungano kwa kuwa utawafanya wawe chini ya Wabantu ambao ni Wabara! Wabantu nao wanawaona Waarabu kuwa ni wa kuja tu, wanahofia kuwa watarudisha mamlaka ya Kisultani Zanzibar.

Nasikia Maalim Seif alipojitangaza mshindi Zanzibar, huko Oman walifurahi sana kwa kuwa waliona walichokisubiri muda mrefu kiko mlangoni. Well, whether hicho ni kweli au la sina uthibitisho kamili, lakini lililo dhahiri ni kwamba Zanzibar kuna "Uarabu" na "Uafrika", that is it! Mengine yote ni cosmetics tu!

Wayahudi walikaa Ulaya kwa karne nyingi lakini walipoona wanaonewa na Wazungu, hasa Hitler alipowaua Wayahudi wapatao milioni 6 waliamua kurudi kwao na kuunda taifa jipya la Israel mnamo mwaka 1948, as simple as that!

Huko Zanzibar nako kama kuna watu wanahisi wanabaguliwa kwa sababu ya asili walikotoka sioni kwa nini wasiwaige Watahudi wakarudi kwao, as simple as that! Sio lazima wakaunde Taifa, wanaweza kujichanganya na "wenzao" maana birds of the same feather flock together!

Ujumbe ulishatolewa na CCM, japokuwa radhi iliombwa baadaye lakini message ilikuwa "SENT AND DELIVERED" kwamba Waarabu au wenye asili ya huko hawana chao Zanzibar, implication ni kwamba warudi home! Ni mawazo yangu anyway, I may be wrong!

Yule mama Asha, marehemu, naye alidai kuwa CCM haiko tayari kukabidhi Zanzibar kwa njia ya karatasi, CUF sijajua kwa nini hawataki kuelewa somo ambalo hata Jecha ameliendeleza, Magu mwenyewe amedai atalinda nchi dhidi ya wanaoleta fyoko fyoko, "mpaka PEMBA!"bado somo halipandi tu? Things are more complicated than you might thought! Fikirieni Plan B ya kurudi HOME, otherwise mkubali kuwa chini ya Wazanzibara!


Evolution process have failed black race miserably
 
Inanikumbusha story ya ng'ombe watatu. Wa kwanza alikuwa mweupe, wa pili mweusi na wa tatu mwekundu. Kulikuwa na Simba aliyekuwa na njaa lakini alipokua anataka kumla ng'ombe mweupe alimwambia ng'ombe mwekundu, bla hiyana akamsapot akamkamate akijua yeye hausiki! Simba katimiza yake.

Slku nyingine akaotoa taarifa pia kwa ng'ombe mwekundu kuwa anaenda kumla ng'ombe mweusi vilevile akatoa go ahead akijua haimuhusu kwa sababu wote ni ng'ombe ila rangi yao ni tofauti.

Siku nyingine akaambiwa nimewala wale wameisha na njaa bado ipo unaonaje nikiuitafuna na ww,ng'ombe mwekundu hakuwa na ubavu wa kubisha ingawa aliacha wosia akasema "NILILIWA SIKU ALIPOLIWA NG'OMBE MWEUPE" aligundua kuwa wenzake wangekuwepo wenda wangeungqna kupinga dhulma za simba.

Ndicho inachokifanya CCM kwa wazanzibar. lkimaliza huko itaboresha ubaguzi wake bara achana na huu wa kuwafarakanisha waislam na wakristo huku bara!

Haki ya mtu haiporwi hucheleweshwa tu.
 
Hivi umeona uarabuni tu kushereheka? Ulaya hukuona na marekani kanada? Sasa me nakuambia kite tulishereheka. Tafta jengine
 
Mleta mada umeongea Ukweli haswaa ambao CCM ndiyo wanavyotaka na kuamini hivyo.
 
Wayahudi walikaa Ulaya kwa karne nyingi lakini walipoona wanaonewa na Wazungu, hasa Hitler alipowaua Wayahudi wapatao milioni 6 waliamua kurudi kwao na kuunda taifa jipya la Israel mnamo mwaka 1948, as simple as that!

!

Sidhani kama ni sahihi kusema watu wa asili fulani warejee walikotoka. kwanza lazima tujue hawa wanaoitwa waarabu zenji ni mchanganyiko wa wabantu na hao waarabu tena vizazi kadhaa vya nyuma kiasi cha kwamba walisha undergo genetic segregation kiasi cha kuwa viumbe unique wanaopatikana zenji tu na si sehemu nyingine maana ukiwaweka Oman hawatakubalika kwa kuwa hawafanani na wazawa wa huko . Hivyo ni vyema hicho kizazi tuendelee kukienzi maana ndo utambulisho wa zenji ati.
 
Hivi wenyeji wa Zanzibar ndio kina nani? Maana hata wenye asili ya usukamani nao wanbaguliwa. Tuambieni enyi weusi wa zanzibar mlitoka wapi?
 
Hivi wenyeji wa Zanzibar ndio kina nani? Maana hata wenye asili ya usukamani nao wanbaguliwa. Tuambieni enyi weusi wa zanzibar mlitoka wapi?
Kwa hiyo nchi ya Zanzibar ilikuwa haina watu kabisa?
 
Mleta mada mbaguzi tambua unaposema kila mmoja arudi kwao basi visiwa hivyo abaki nani? Au iwe national zoo? Maana itabidi hao waarabu warudi uarabuni (unakojua wewe) na wabara nao warudi bara (unakojua wewe) then Z'bar ibaki na minazi? Usingeumia akili kama usingeleta mada ya hovyo namna hii.
Zanzibar ibaki na wenyeji, haitakuwa zoo! BTW, mimi sio mbaguzi ila Wazanzibari ndio wanabaguana wenyewe kwa wenyewe, mimi nawapa solution ya uhakika, otherwise tutasikia vituko mwaka hadi mwaka! Halafu unaposema "unakojua wewe" kwani mimi ndio niliowapeleka huko Zanzibar? Si wameenda wenyewe?
Mbona Waisraeli walipobaini kuwa Ulaya sio kwao walirudi kwao? Kuna mtu aliwaelekeza pa kwenda?
 
I mean black race isn't in the same level of civilization as other races of the world. Your judgement, reasoning and action is not that much different from Australopithecus boisei.
"Australopithecus boisei"- What language is this?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom