Who cares about Zanzibar?

mmakonde

JF-Expert Member
Dec 26, 2009
966
66
Mwananchi wa Mwanza,Bukoba,Sumbawanga,Songea ,Shinyanga,Arusha etc anajali nini na Zanzibar?
Ningekuwa mbunge wa SISIEM nawakilisha majority ya Wabara,ningeomba hoja ya kuvunja huu the so called Muungano,na kuwaachia mayahe wawe na serikali yao.

Sana sana wataanzisha serikali ya kiislamu,na pengine Sharia law.Tuona wa Unguja na wapemba watakwenda vipi,uafrika na uarabu utakuwaje huko.Tangu enzi ya Nyerere makanisa yalikuwa yanachomwa moto,kwa hiyo tutapata zaidi haya ya kidini.

Kama mwananchi wa kawaida i care less about Zanzibar na mambo yao,ni wastage of time .
 
Mwananchi wa Mwanza,Bukoba,Sumbawanga,Songea ,Shinyanga,Arusha etc anajali nini na Zanzibar?
Ningekuwa mbunge wa SISIEM nawakilisha majority ya Wabara,ningeomba hoja ya kuvunja huu the so called Muungano,na kuwaachia mayahe wawe na serikali yao.

Sana sana wataanzisha serikali ya kiislamu,na pengine Sharia law.Tuona wa Unguja na wapemba watakwenda vipi,uafrika na uarabu utakuwaje huko.Tangu enzi ya Nyerere makanisa yalikuwa yanachomwa moto,kwa hiyo tutapata zaidi haya ya kidini.

Kama mwananchi wa kawaida i care less about Zanzibar na mambo yao,ni wastage of time .
Kweli wewe ni kilaza tena wa mwisho jina la kukupa sina kwa sababu nina kuonea huruma ndugu yangu kwa uwezo mfupi wa kufikiri na kutoa maamuzi.kilaza wa mwisho
 
Mwananchi wa Mwanza,Bukoba,Sumbawanga,Songea ,Shinyanga,Arusha etc anajali nini na Zanzibar?
Ningekuwa mbunge wa SISIEM nawakilisha majority ya Wabara,ningeomba hoja ya kuvunja huu the so called Muungano,na kuwaachia mayahe wawe na serikali yao.

Sana sana wataanzisha serikali ya kiislamu,na pengine Sharia law.Tuona wa Unguja na wapemba watakwenda vipi,uafrika na uarabu utakuwaje huko.Tangu enzi ya Nyerere makanisa yalikuwa yanachomwa moto,kwa hiyo tutapata zaidi haya ya kidini.

Kama mwananchi wa kawaida i care less about Zanzibar na mambo yao,ni wastage of time .
Kweli wewe ni kilaza tena wa mwisho jina la kukupa sina kwa sababu nina kuonea huruma ndugu yangu kwa uwezo mfupi wa kufikiri na kutoa maamuzi.kilaza wa mwisho
 
Wun wewe ni kilaza kama fisadi!hujatoa sababu zako za kupinga hoja yangu!
Toa wana JF wasome!
Nimeona kwenye thread hapa maalim Seif anakwenda London kukutana na wajilipuaji wa Zanzibar!Kama mtanganyika i dont care less!
 
Wun wewe ni kilaza kama fisadi!hujatoa sababu zako za kupinga hoja yangu!
Toa wana JF wasome!
Nimeona kwenye thread hapa maalim Seif anakwenda London kukutana na wajilipuaji wa Zanzibar!Kama mtanganyika i dont care less!

Duh!Kazi kweli kweli! Hii ndio hali halisi ya watu tunavyotofautiana na hatuna jinsi bali kukubali tupo tofauti katika kufikiri. Uhuru wa kuongeaaaaaaaa!
 
Mwananchi wa Mwanza,Bukoba,Sumbawanga,Songea ,Shinyanga,Arusha etc anajali nini na Zanzibar?
Ningekuwa mbunge wa SISIEM nawakilisha majority ya Wabara,ningeomba hoja ya kuvunja huu the so called Muungano,na kuwaachia mayahe wawe na serikali yao.

Sana sana wataanzisha serikali ya kiislamu,na pengine Sharia law.Tuona wa Unguja na wapemba watakwenda vipi,uafrika na uarabu utakuwaje huko.Tangu enzi ya Nyerere makanisa yalikuwa yanachomwa moto,kwa hiyo tutapata zaidi haya ya kidini.

Kama mwananchi wa kawaida i care less about Zanzibar na mambo yao,ni wastage of time .

Kaazi kweli kweli...
Sijui kinachokukosesha raha ni hii DINI (UISLAMU) au huu UZANZIBARI..angalia usife KIHORO,,,Zanzibar itaendelea kuwepo mpaka siku ya mwisho.. na Mungu ataendelea kuleta Neema na rehema zake kwa Waje wake wote,,wakiwemo na wamakonde walioko huko
 
Wun wewe ni kilaza kama fisadi!hujatoa sababu zako za kupinga hoja yangu!
Toa wana JF wasome!
Nimeona kwenye thread hapa maalim Seif anakwenda London kukutana na wajilipuaji wa Zanzibar!Kama mtanganyika i dont care less!
Wewe ni katika watu wenye roho mbaya, choyo na wivu dhidi ya Zanzibar.Imekukera nini hiyo Zanzibar na watu wake hata uwaite walipuaji/terrorists?

Hii kwa kitaalamu inaitwa stereotyping,sio lazima kama terrorists wengi ni waislamu...basi manaake waislamu wote ni terrorists.

Wengine wakisoma maandishi yako watafakiri watanganyika wote wana mawazo na fikra kama zako...no idea if that will be correct or another stereotyping behavior..definitely this is pure stereo!
 
Mcfroasty tembea uone!Tofautisha kujilipua(kuomba hifadhi ya kisiasa) na kujilipua kama suicide bomber.I was talking about the former,misemo ya mitaani ya Ulaya kwa waswahili.
Samahani kwa kukuchanganya.

Wala sikuhushisha Zanzibar na terrorism,labda naomba apology
 
Mcfroasty tembea uone!Tofautisha kujilipua(kuomba hifadhi ya kisiasa) na kujilipua kama suicide bomber.I was talking about the former,misemo ya mitaani ya Ulaya kwa waswahili.
Samahani kwa kukuchanganya.

Wala sikuhushisha Zanzibar na terrorism,labda naomba apology

Kiswahili changu ni old fashion, apology for the misunderstanding.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom