Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 21,841
- 38,736
Ajiandae kulipa mabilioni ya faini,maana Marekani wateja na Serikali hawatakagi upuuzi.Kummilikisha mtu mmoja mitandao mitatu mistake
Mark ameifanya hii mitandao kuwa na sheria moja akizima anazima kote
Ni kama serikali ilivyoiminya mifuko ya jamii ikaifanya kitukimoja mwishowe na sheria zimekuwa moja likitokea la kutokea ni kote kote
Sent using Jamii Forums mobile app