Hapa ndio umenichanganya kabisa..
Kwamba internet imekuja na way (cable) hadi bongo??
sivyo unavyofikilia mkuu haya mambo GOOGLE FACEBOOK WHATSAAP and CO
wanabackup majimbo tofauti tofauti marekani
lbda ilipuliwe marekani nzima ndio data zitapotea
kikichotokea ni tatizo la kiufundi ambalo limekuwa nje ya uwezo wao kwa muda mchache
halafu internet haitoki kwenye SATELLITE kama wengi wanavyofikilia
kutoka MAREKANI mpaka BONGO internet imekuja na waya(cable) mpk daresalaam

tafuta tafuta utaona thread inaelezea hizo backup Uzi upo humu
 
Hawa FB wameinunua IG na Whatsapp ili waje kuioelekesha dunia, na ikatokea mtandao mwingine wataununua, hata hiyo tiktok watainunua tu
 
Back
Top Bottom