CHUO KINALIPWA PESA NA WATUU HAWASOMI BURE ILA KUTOA PESA YA KUNUNULIA RANGI YA KUPIGA KILA MWAKA WAMESHINDWA? ANGALIA MOJA YA MADARASA YAO HAPO CBE.
WHAT A BIG SHAME.o
View attachment 50421
hii snap ilichukuliwa kabla ya ile sheria haijapitishwa maana naona kuna bishosti hapo kavaa suruali..
pia mchakato wa kumpata mzabuni ulikuwa mgumuYawezekana rangi zimepanda bei soko la dunia chuo kimeshindwa kununua
.Nimeshachukuwa Form CBE,sijui itakuwaje.
anajilaumu.ila viti kama hivyo hapo bora watu waende uchi kwani ukipiga pamba zako lazima zichanwe na hayo maviti