Mjenda Chilo
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 1,467
- 513
Wanajamvi, si unajua ukitaka kuwa wakili lazima upitie ile bar exams ukifaulu ndo unaapishwa kama advocate wa high court. Ile panel hainaga akili nzuri, walimgalagaza mara mbili, anaejua kama jamaa alikuja kufaulu ile mitihani atudokeze.