Kanisa halikupotezi wewe ndio utapoteaKKKT watanipoteza very soon. Sijaenda kanisani kitambo sana kwa sababu siamini namna viongozi wanavyoliendesha kanisa.
Naona wananifanyia finishing
Kanisa halikupotezi wewe ndio utapoteaKKKT watanipoteza very soon. Sijaenda kanisani kitambo sana kwa sababu siamini namna viongozi wanavyoliendesha kanisa.
Naona wananifanyia finishing
Nilitegemea huwezi kuelewa sababu unaishi kwa kukariri.Hueleweki!...kama ninavyoona nini?
Nikaribie wapi?
Hebu andika vitu vinavyoeleweka.
Ni wapi wamesema kuwa waliofiwa na waume zao wasiolewe tena?Duh....kwa hiyo waliofiwa na waume zao hakuna kuolewa tena (madhabauni)?
Na vipi watawatambua wenye mimba changa? Na wanaume waliotia mimba inakuwaje?
Ulipoanza tu kutembea na mama yako akili yote ikaisha, kamuombe msamaha baba yako. Karibu tena mkuu
Kwanini si lazima mimi kuelewa ulichoandika hapa?Kama hujaelewa unaweza pitia posts unazozielewa si lazima kuelewa kila post!
Mkuu ukiwaacha hawa wanadharau sana, toka nimeanza kuchangia hapa Oct, 2016 sijawahi kutukana mtu, hawa huwa wanadandia thread na kuanza kutukana kijinga. Mimi mwenyewe huwa sipendi kabisa hasa J2 kama ya leo, kama anaona nimeandika kitu ambacho hakimfurahishi ni vizuri kuachana nacho siyo lazima achangie.Jamani Babati matusi hayakupendezi kabisa, usitukane tena.
Unajua nini maana ya kufunga ndoa na kubariki ndoa katika KKKT?Ninacho shukia nikule kusema huyu anafunga ndoa anastahili kufika kwenye madhabahu ,huyu anabariki ndoa hastahili kufika kwenye madhabahu ,huo wote ni uzushi tu .kama tunangalia nani katenda zambi na nani hajatenda zambi tutakuwa tunajidanganya uwezo huo hatuna.
Nikiingia kwenye hilo kundi familia yako itapungukiwa na nini?Kwanini si lazima mimi kuelewa ulichoandika hapa?
Uliandika ili nisielewe au uliandika kisichoeleweka?
Angalia usiingie katika lile kundi la mbumbumbu wabwabwajaji.
Kwenda mbinguni sio lazima usali KKKT, naamini unalifahamu hilo. Kanisa ni njia tu lkn matendo yako ndiyo huamua uhusiano wako na Mungu.Kanisa halikupotezi wewe ndio utapotea
Wala usitukane, kanisa lenu lina nia njema tu ambayo ni kuzuia uzinzi, Mwanaume na Mwanamke kushirikiana kimwili na kuishi pamoja kabla ya ndoa takatifu ni dhambi. Ndio maana kitendo kile kinaitwa tendo la ndoa, sasa mtu anafanya tendo la ndoa huku hata ndoa yenyewe haja funga.KKKT wapuuz sana. Wanaacha kushughulikia ya maana wanakaa kuumiza wafuasi wao.
Huku Arusha bado wanachangisha mchango wa hoteli ya Korido Spring
Hili la kwako tayari nishalisemea, kuwa KKKT wato grace period huku wakiwahamisha waumini wote ambao hawajafunga ndoa lakini tayari wana watoto au ujauzito kutumia muda wa grace period kufunga ndoaVipi mbao tayari wameandikisha kufunga ndoa mwezi huu na wana vitumbo na watoto? Waende kufungia Katoliki kabla nao hawajakaza?
Afadhali umekiri mbele za watu, hongera sana mkuu.Nafuu niliyetembea na mamangu kwa sababu ningekosea njia nkatembea na weye nadhani moto wa jehanna ungenihusu. Si nlikuambia weye huna dini ila unamvizia shekhe wetu?? Ufirauni wako unaanza kuufungua sasa. Naona nilipiga pua kabisa. Pole, vumilia tuuu
Naishi kwa kukariri nini?Nilitegemea huwezi kuelewa sababu unaishi kwa kukariri.
Umenena vyema, nadhani wanatakiwa kutafakari upya amri zao zisizo na mashikoMaana yake Kanisa limeamua kuhukumu waumini wake. Ni mstari gani kwenye biblia unaotoa mamlaka kwa Kanisa kufanya hivyo? Na kama watu wote wanafanya 'mema' kuna sababu gani ya kuwa na Kanisa? Au wamesahau Yesu aliposema: "sikuja kuwaita wenye haki, bali wenye dhambi" Marko 2: 15-17.
Halafu cha ajabu pamoja na unyanyapaa huo wa wazi bado Kanisa litapokea sadaka bila kujali nani kazaa lini na kwa utaratibu gani?
Sijibu sababu hakuna nachotegemea kutoka kwako, mind your own business.Naishi kwa kukariri nini?
Hebu thibitisha kuwa naishi hivyo
Wewe uliyetangaza kuwa muumin wa uislam, haya yanakuhusu nini?
Mbona hujibu maswali ninayokuuliza?
Kwanini si lazima mimi kuelewa ulichoandika hapa?
Uliandika ili nisielewe au uliandika kisichoeleweka?
Angalia usiingie katika lile kundi la mbumbumbu wabwabwajaji.