sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,053
Napitia hapa kazi za tra nimeona kuna kazi zinahitaji diploma, kiukweli diploma wanakuwaga wachache na hii inakuwa faida kwa wenye diploma maana nafasi hizi mtu aliepitia form 6 hawezi ku appy
Kimbembe kipo kwenye degree huku, ni shoida!! kuna rundo la vijana wengi mno wanaomaliza form 6 kila mwaka kuingia degree ukiongezea na wale wanaotoka diploma kwenda degree.
Ajira za diploma wanaweza ku apply watu elf 8 lakini hizi ajira za degree hata watu laki 8 wana apply
Wacha diploma wale zabibu zao aisee
Kimbembe kipo kwenye degree huku, ni shoida!! kuna rundo la vijana wengi mno wanaomaliza form 6 kila mwaka kuingia degree ukiongezea na wale wanaotoka diploma kwenda degree.
Ajira za diploma wanaweza ku apply watu elf 8 lakini hizi ajira za degree hata watu laki 8 wana apply
Wacha diploma wale zabibu zao aisee