Unaweza kumuoa yes,lakini kuna ugumu naupata katka kukupa ushauri.
1. Ana watoto wawili, je ni wa baba mmoja au baba tofaut. Kama baba yao ni mmoja, je anandoa nae? Kwa sababu usije ukawa unataka kuoa mke wa mtu..hata kama amempiga sawa lakini ni mke wake bado kwani mwanaume kumpiga mke sio kumtaliki.
2. Uko tayar kuchukua jumkumu la kumlea yeye na watoto alio nao bila kubagua endapo utapata mtoto baadae. Usije ukamtafutia mdada wa watu maumivu zaidi endapo utaona ngumu baadae kwa kumkimbia.
Sio vibaya wewe kumuoa kama unavigezo vyote vya uhalali wa wewe kumuoa huyo binti lakini angalia pia usalama wako kwa mume aliekua nae.
Tambua sababu ya wewe kumuoa, kama umemtamani kumbuka tamaa ni ya kitambo tu, kama ni mambo kitandani then what next..akili kumkichwa bos
1. Ana watoto wawili, je ni wa baba mmoja au baba tofaut. Kama baba yao ni mmoja, je anandoa nae? Kwa sababu usije ukawa unataka kuoa mke wa mtu..hata kama amempiga sawa lakini ni mke wake bado kwani mwanaume kumpiga mke sio kumtaliki.
2. Uko tayar kuchukua jumkumu la kumlea yeye na watoto alio nao bila kubagua endapo utapata mtoto baadae. Usije ukamtafutia mdada wa watu maumivu zaidi endapo utaona ngumu baadae kwa kumkimbia.
Sio vibaya wewe kumuoa kama unavigezo vyote vya uhalali wa wewe kumuoa huyo binti lakini angalia pia usalama wako kwa mume aliekua nae.
Tambua sababu ya wewe kumuoa, kama umemtamani kumbuka tamaa ni ya kitambo tu, kama ni mambo kitandani then what next..akili kumkichwa bos