GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,277
- 6,673
Kama kuna wakati nimeomba ushauri nikiwa serious basi leo ni zaidi. Siku nyingi nimekuwa
nikitafuta mwenza wa kuishi naye katika maisha lakini imekuwa ni kazi ngumu kutokana na
sababu mbalimbali ambazo siwezi kuzieleza zote.
Kitu ambacho kinanifanya niombe ushauri kwa sasa ni kuwa kuna Dada ambaye nimempenda
kutokana na tabia yake. Kinachonitatiza ni kuwa tayari ana watoto wawili. Nataka kujua kutokana
na uzoefu wenu kwani mimi sina mtoto hata mmoja.
Je kuna matatizo yoyote naweza kukabiliana nayo kwa kumuoa mwanamke ambaye tayari ana
watoto 2.
Naomba wenye ushauri wanisaidie!
nikitafuta mwenza wa kuishi naye katika maisha lakini imekuwa ni kazi ngumu kutokana na
sababu mbalimbali ambazo siwezi kuzieleza zote.
Kitu ambacho kinanifanya niombe ushauri kwa sasa ni kuwa kuna Dada ambaye nimempenda
kutokana na tabia yake. Kinachonitatiza ni kuwa tayari ana watoto wawili. Nataka kujua kutokana
na uzoefu wenu kwani mimi sina mtoto hata mmoja.
Je kuna matatizo yoyote naweza kukabiliana nayo kwa kumuoa mwanamke ambaye tayari ana
watoto 2.
Naomba wenye ushauri wanisaidie!