Wenye Akili tunajua Kauli hii haijatoka kwa Mbowe bali Kalazimishwa Kuisema na Remote ya Pwani na Monitor / Screen ya Zanzibar

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
57,118
110,511
"Mheshimiwa Rais Samia Wewe, Serikali yako pamoja na Chama chako cha CCM mlipaswa mtuombe Radhi Watanzania kwa kutupitisha katika Kipindi kigumu huku Wengine tukiumizwa zaidi. Rai yangu Kwenu CCM ni kwamba kwa miaka ijayo mtakuwa makini Kuteua Mgombea Urais anayefaa" amesema Freeman Mbowe Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa alipokuwa akizungumza leo katika Kilele cha Siku ya Wanawake duniani mbele ya Rais na Mwenyekiti wa CCM Taifa Samia Hassan.

Habari: ITV Tanzania

Tokea afariki tarehe 17 Machi, 2021 mmetumia Nguvu nyingi na Kubwa Kumchafua na Kuonyesha kuwa alikuwa Dikteta kama akina Amini, Bokassa, Salazar na Hitler ila bado hamjaaminika na Watanzania wenye Akili Kubwa kuliko zenu.

Tunajua Mbowe aliagizwa Kusema huu Upuuzi wake leo ili ionekane kama ni Ujumbe wake wakati Ukweli ni kwamba mwenye Dhamana Kuu na Chama na Mstaafu ndiyo wenye Ujumbe huu kwa Wanachama Wao wa Lumumba na Kizota na hapa wanawaambia Kijanja kuwa wahakikishe Mgombea ajaye mwaka 2030 asiwe Mkali kwa Rasilimali za Tanzania na Watanzania bali awe ni Mpole, Fala, Lofa, Zuzu, Mla Rushwa, Mjinga na Mtu wa Kupelekwapelekwa tu Mafisadi na Mafia wa nchi hii.

Hovyo kabisa......!!!!!!
 
Jamaa siku hizi hasomeki,au konyagi anakua anapitiliza kipimo chake alichozoea
Tokea atoke Lupango ndiyo anagambeka hakuna mfano. Mwezi January, 2023 alizima kwa Gambe pande za Mbezi Beach ( Chimbo Jipya ) la VIP"s tu hadi akabebwa kuingizwa ndani ya Motokaa yake. Kesharogezewa na Gambe na wala hafichi / hajifichi.
 
IMG-20230308-WA0043.jpg
 
"Mheshimiwa Rais Samia Wewe, Serikali yako pamoja na Chama chako cha CCM mlipaswa mtuombe Radhi Watanzania kwa kutupitisha katika Kipindi kigumu huku Wengine tukiumizwa zaidi. Rai yangu Kwenu CCM ni kwamba kwa miaka ijayo mtakuwa makini Kuteua Mgombea Urais anayefaa" amesema Freeman Mbowe Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa alipokuwa akizungumza leo katika Kilele cha Siku ya Wanawake duniani mbele ya Rais na Mwenyekiti wa CCM Taifa Samia Hassan.

Habari: ITV Tanzania

Tokea afariki tarehe 17 Machi, 2021 mmetumia Nguvu nyingi na Kubwa Kumchafua na Kuonyesha kuwa alikuwa Dikteta kama akina Amini, Bokassa, Salazar na Hitler ila bado hamjaaminika na Watanzania wenye Akili Kubwa kuliko zenu.

Tunajua Mbowe aliagizwa Kusema huu Upuuzi wake leo ili ionekane kama ni Ujumbe wake wakati Ukweli ni kwamba mwenye Dhamana Kuu na Chama na Mstaafu ndiyo wenye Ujumbe huu kwa Wanachama Wao wa Lumumba na Kizota na hapa wanawaambia Kijanja kuwa wahakikishe Mgombea ajaye mwaka 2030 asiwe Mkali kwa Rasilimali za Tanzania na Watanzania bali awe ni Mpole, Fala, Lofa, Zuzu, Mla Rushwa, Mjinga na Mtu wa Kupelekwapelekwa tu Mafisadi na Mafia wa nchi hii.

Hovyo kabisa......!!!!!!
Chendema inakoelekea ni km Cuf na NCCR Mageuzi, kuja kukosa mvuto kwa....... Ni swala la muda,
Lema ni kama askari ambaye ameenda vitani, badala ya kushambulia maadui zake, yeye chochote kinachomkalia mbele yake mbwa, mbuzi, anawashambulia badala ya maadui, anadhani anajenga chama kumbe ana kibomoa....
anaoneka ana visasi na watu fulani, akiendelea vile, mara bodaboda, mara vicoba mara viongozi wa dini atazidi kupoteza mvuto na chama chake.
 

Attachments

  • FB_IMG_1678303624848.jpg
    FB_IMG_1678303624848.jpg
    40 KB · Views: 1
Genta
"Mheshimiwa Rais Samia Wewe, Serikali yako pamoja na Chama chako cha CCM mlipaswa mtuombe Radhi Watanzania kwa kutupitisha katika Kipindi kigumu huku Wengine tukiumizwa zaidi. Rai yangu Kwenu CCM ni kwamba kwa miaka ijayo mtakuwa makini Kuteua Mgombea Urais anayefaa" amesema Freeman Mbowe Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa alipokuwa akizungumza leo katika Kilele cha Siku ya Wanawake duniani mbele ya Rais na Mwenyekiti wa CCM Taifa Samia Hassan.

Habari: ITV Tanzania

Tokea afariki tarehe 17 Machi, 2021 mmetumia Nguvu nyingi na Kubwa Kumchafua na Kuonyesha kuwa alikuwa Dikteta kama akina Amini, Bokassa, Salazar na Hitler ila bado hamjaaminika na Watanzania wenye Akili Kubwa kuliko zenu.

Tunajua Mbowe aliagizwa Kusema huu Upuuzi wake leo ili ionekane kama ni Ujumbe wake wakati Ukweli ni kwamba mwenye Dhamana Kuu na Chama na Mstaafu ndiyo wenye Ujumbe huu kwa Wanachama Wao wa Lumumba na Kizota na hapa wanawaambia Kijanja kuwa wahakikishe Mgombea ajaye mwaka 2030 asiwe Mkali kwa Rasilimali za Tanzania na Watanzania bali awe ni Mpole, Fala, Lofa, Zuzu, Mla Rushwa, Mjinga na Mtu wa Kupelekwapelekwa tu Mafisadi na Mafia wa nchi hii.

Hovyo kabisa......!!!!!!
GENTAMYCINE naomba unieleweshe hivi yule dingi wa pale Lugoba anatafuta nini kwenye maisha ya wa tz si muda wake umepita au anataka mpaka wajukuu zake watawale
 
Back
Top Bottom