MKWEAMINAZI
JF-Expert Member
- May 28, 2023
- 930
- 1,299
Hatimae Makamu Mwenyekiti wa CCM kasema sio lazima Tubadili KATIBA ila Tubadili Sheria za Uchaguzi kauli hii ina maana Tuendelee kuwa na Katiba iliyopo Katiba yenye Mapùngufu lukuki Katiba isiotaka UCHAGUZI Uhojiwe Mahakamani.Kwa kauli hii ni Wazi Suala la Kupatikana kwa KATIBA MPYA Katiba yenye MAONI na MAPENDEKEZO ya Wenye NCHI yao ambao ni WANANCHI TUSAHAU.
Danadana za CCM juu ya KATIBA MPYA zilianzie wakati wa BUNGE la KATIBA na Wakati wa Utawala wa Awamu ya 5 Rais Magufuli alitamka Hadharani kuwa Serikali yake KATIBA MPYA Sio Kipau mbele licha ya kuwekwa ktk ILANI ya CCM na akasema Serikali yake haina BAJETI ya KATIBA MPYA.
Serikali ya Awamu ya 6 ikaingia na Gia ya KIKOSI KAZI na kutaka KUKUSANYA Upya Maoni ya Wananchi wakati Tume ya Warioba ilikwisha fanya kazi hiyo.
Kutokana na Kauli hii ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Kinana ni Wazi Msimamo wa CCM sio kuwapatia Wananchi KATIBA MPYA bali ni kuendelea na KATIBA iliyopo KATIBA wasioitaka WANANCHI bali CCM
Ushauri kwa Wananchi Tuendelee kuipigania KATIBA MPYA haiwezekani Miaka 61 tuendelee kuwa na KATIBA isiyoendana na Mabadiliko ya Mambo mengi.
Danadana za CCM juu ya KATIBA MPYA zilianzie wakati wa BUNGE la KATIBA na Wakati wa Utawala wa Awamu ya 5 Rais Magufuli alitamka Hadharani kuwa Serikali yake KATIBA MPYA Sio Kipau mbele licha ya kuwekwa ktk ILANI ya CCM na akasema Serikali yake haina BAJETI ya KATIBA MPYA.
Serikali ya Awamu ya 6 ikaingia na Gia ya KIKOSI KAZI na kutaka KUKUSANYA Upya Maoni ya Wananchi wakati Tume ya Warioba ilikwisha fanya kazi hiyo.
Kutokana na Kauli hii ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Kinana ni Wazi Msimamo wa CCM sio kuwapatia Wananchi KATIBA MPYA bali ni kuendelea na KATIBA iliyopo KATIBA wasioitaka WANANCHI bali CCM
Ushauri kwa Wananchi Tuendelee kuipigania KATIBA MPYA haiwezekani Miaka 61 tuendelee kuwa na KATIBA isiyoendana na Mabadiliko ya Mambo mengi.