unaweza kuita vyovyote unavyotaka. utafiti, umbea, ufisadi....
....mbona wewe umeolewa na Upo JF...???
habari zenu wakuu,
wakuu nimefanya ka research kangu nimegundua kuwa, wengi ya wana jf ni watu ambao wana matatizo sana ya kimaisha, kimapenzi(wameachwa, hawana wapenzi wa kuwafariji na hata kubakwa)na mengineyo. Ndio maana wengi wao wameifanya jf kama sehemu ya kujifariji au kupotezea mawazo hasa mmu na chit chat. Muda wote wako humu kuanzia asubuhi mpaka saa tisa usiku.
Wengine humu unashangaa wapo online muda wote kumbe wanabiashara zao au wanajiegesha hasa kina dada( samahani lakini...)
matatizo waliyokuwa nayo yanachangia pia wengi wao kuwa na tabia za ajabu ajabu na kutoa mada za ajabu ajabu mpaka mtu unajiuliza jamaa amefikiria nini mpaka kuleta kitu kama hiki!!!
Dah! Poleni sana wakuu, mungu atawabariki....juma pili njema.
Amen jf is more than u think
ni ukweli usiopingika jf ni kila kitu kwangu.
alipo mungu
faraja ipo sio kwamba tuna ubia na vifurushi vya tigo
tinafwata.neema na baraka za.jf
alipo mungu
faraja ipo sio kwamba tuna ubia na vifurushi vya tigo
tinafwata.neema na baraka za.jf
Baelezee.....
Ulijuaje kuwa kuna watu wanashinda hadi saa tisa usiku
Ulijuaje kuwa kuna watu wanashinda hadi saa tisa usiku