memeapa
Senior Member
- Apr 27, 2014
- 151
- 58
Mi sio fan wa Kiba but haya maneno ya wema kila siku kusema kiba alimuomba amuombee kura sio vyema hata kidogo,waliongea privately haikua na haja kufanya matangazo nadhani hata Kiba anaweza kuona utoto wa Wema hafai kifanya nae deal anapenda sana publicity za kixnge xenge,ok poa kiba kaomba amsapoti then apige kimya sio kila siku matangazo ni kupenda sifa za kilofa!
Yule dada akikutendea jambo ulimwengu wote lazima ujue ...