Tatizo la dogo anaona huo umaarafu kafika kweli anaona kila dem maarufu ni halali yake ivo kamtumia wema na sasa radha ishakwisha atujui who is next?ila anatakiwa kujua umaarufu ukiisha madem nao watamtema kama anavyowatema na hata wale wa uwanja wa fisi nao watamtoza pesa kwa tendo moja.