The Donchop
JF-Expert Member
- Jan 10, 2014
- 294
- 376
Habari humu ndani?
Kwa kweli ashukuriwe sana alieanzisha JF
Maana kuna muda unatamani kuongea you dont know mtu wa kukusikiliza. Ila JF inasaidia sana kufanya wengine tutoe yanayotuumiza mioyoni mwetu.
Ipo hivi, nimekua kwenye mahusiano kwa muda mrefu sana zaidi ya miaka 9 na huyu mwenzangu. Tulianza mahusiano tukiwa chuo kikuu. By the time tumeanza mahusiano, sikuwahi kufikiria ndoa. Ingawa mwenzangu alinitamkia mara kadhaa ingawa sina hakika kama ni hali ya utani ama la.
Sasa tumekua watu wazima 30+. Kila mtu ana kazi yake, mi mdada nimepanga kwangu na mwenzangu anaishi kwao bado. Kiukweli maisha ambayo tulikua tunayaishi sikuyapenda. Kila mara mwenzangu anatoka kwao kuja kwangu. Ingawa mimi nina kipato kikubwa sana zaidi ya mwenzangu, lakini bado mimi ni mwanamke ninayehitaji mapenzi ya mwanaume. Lakini mwenzangu amekua kama mtoto kwangu. Anakuja nyumbani kwangu, kila kitu nafanya mimi. Na bado kuna muda ananiomba nimnunulie zawadi.
Kiukweli nilikaa naye chini nikamueleza. Binafsi kupata pesa nyingi zaidi yake sikuona kama ni kikwazo. Nilichohitaji ni kufanya vitu vya kimaendeleo zaidi kuliko starehe. Ila mwenzangu utasikia "Naenda kwenye mpira sasa utanitumia nipate japo mbili tatu?" Kiukweli hali hii ilinifanya nipunguze sana mapenzi kwake. Mwenzangu akaanza wivu labda nina mtu.
Kiukweli, nimejaribu kuongea naye mara kadhaa. Mwenzangu hata mpango wa kujiinua yeye kama yeye hataki. Na sasa nimegundua kwamba wamerudiana na ex wake. Nilichokifanya sikumwambia lakini nilimuomba same day same time, kila mtu afanye maisha yake. Amejaribu kunibembeleza lakini sioni cha maana anachokiongea.
Kuna baadhi ya mali zake ambazo zipo kwangu, nimeshamuomba mara kadhaa azichukue na hataki. Nikimwambia kuwa nazigawa anasema atatuma mtu azifate. Ikifika siku ya kuzifata hata nimwambie mtu anamletea, hajibu chochote.
Nimeamua kuondoka kwenye maisha yake. Sioni future wala sioni akibadilika. Ila l feel bad. Though najua kuèndelea kumganda mtu wa namna hii, itanifanya mimi nisipige hatua ya maisha.
This is what l wanted to share with you JF family.
Kwa kweli ashukuriwe sana alieanzisha JF
Maana kuna muda unatamani kuongea you dont know mtu wa kukusikiliza. Ila JF inasaidia sana kufanya wengine tutoe yanayotuumiza mioyoni mwetu.
Ipo hivi, nimekua kwenye mahusiano kwa muda mrefu sana zaidi ya miaka 9 na huyu mwenzangu. Tulianza mahusiano tukiwa chuo kikuu. By the time tumeanza mahusiano, sikuwahi kufikiria ndoa. Ingawa mwenzangu alinitamkia mara kadhaa ingawa sina hakika kama ni hali ya utani ama la.
Sasa tumekua watu wazima 30+. Kila mtu ana kazi yake, mi mdada nimepanga kwangu na mwenzangu anaishi kwao bado. Kiukweli maisha ambayo tulikua tunayaishi sikuyapenda. Kila mara mwenzangu anatoka kwao kuja kwangu. Ingawa mimi nina kipato kikubwa sana zaidi ya mwenzangu, lakini bado mimi ni mwanamke ninayehitaji mapenzi ya mwanaume. Lakini mwenzangu amekua kama mtoto kwangu. Anakuja nyumbani kwangu, kila kitu nafanya mimi. Na bado kuna muda ananiomba nimnunulie zawadi.
Kiukweli nilikaa naye chini nikamueleza. Binafsi kupata pesa nyingi zaidi yake sikuona kama ni kikwazo. Nilichohitaji ni kufanya vitu vya kimaendeleo zaidi kuliko starehe. Ila mwenzangu utasikia "Naenda kwenye mpira sasa utanitumia nipate japo mbili tatu?" Kiukweli hali hii ilinifanya nipunguze sana mapenzi kwake. Mwenzangu akaanza wivu labda nina mtu.
Kiukweli, nimejaribu kuongea naye mara kadhaa. Mwenzangu hata mpango wa kujiinua yeye kama yeye hataki. Na sasa nimegundua kwamba wamerudiana na ex wake. Nilichokifanya sikumwambia lakini nilimuomba same day same time, kila mtu afanye maisha yake. Amejaribu kunibembeleza lakini sioni cha maana anachokiongea.
Kuna baadhi ya mali zake ambazo zipo kwangu, nimeshamuomba mara kadhaa azichukue na hataki. Nikimwambia kuwa nazigawa anasema atatuma mtu azifate. Ikifika siku ya kuzifata hata nimwambie mtu anamletea, hajibu chochote.
Nimeamua kuondoka kwenye maisha yake. Sioni future wala sioni akibadilika. Ila l feel bad. Though najua kuèndelea kumganda mtu wa namna hii, itanifanya mimi nisipige hatua ya maisha.
This is what l wanted to share with you JF family.