Baija Bolobi
JF-Expert Member
- Feb 25, 2009
- 1,093
- 1,726
Kwa kuwa Bwana William amekuwa huru kujitambulisha kwa mapana, kabla sijamkaribisha naomba ni mtoto wa mke yupi wa mzee?
Acha kutetemekea jina mkuu, sasa hapa kwenye thread hii unajadiliana nini, unajadili picha ya jamaa na Kikwete, Mbowe, Anna au John, au watoto wa shule?
Sheria ni msumeno, threads zote zitakazokuwa nje ya standards za JF zitashughukiwa kwa mujibu taratibu tulizozikubali wakati tunajiunga hapa.
Mkuu na wewe ni MoD!! Uonezi mtupu, kuna watu hupost upupu lakini wanaogopwa! anyway tutafika tu!
Mimi si MoD, but common sense talks
Mkuu na wewe ni MoD!! Uonezi mtupu, kuna watu hupost upupu lakini wanaogopwa! anyway tutafika tu!
Una roll eyez mtoto wa kiume!!??LOL....kazi kweli!
Karibu mukulu W. J. Malecele.....wasiopenda wakasage vyupa halafu wavinywe!! Karibu sana......
Umejuaje mimi si demu, Boston Salama?
Mkuu Masanilo,
Vichwa vinaweka kumbukumbu sana humu. Unakumbuka ile posting ndefu ya cupcake wake NN?
Hahaha mkuu kumbu kumbu za JF kuwa makini mazee, watu wengi hupiga fix usinisome hapa ukajua ndivyo nilivyo! Ohhh yeah nakumbuka NN na Kelly01