Mc Tilly Chizenga
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 4,641
- 3,675
- Thread starter
- #41
Duh.. Bado watanzania tuko nyuma sana! Hv bado mnasearch news kwa kufungua website?.. Mi niliacha mda huwa natumia alert, na google reader, yaani habari zinanifuata mahali nilipo.
haya kiongozi tanuka tujifunze na wengine!inakuwajekuwaje hayo ma-reader na ma-alert?ma-alert yanaingia kwa fujo kama msg za tigo ukiishiwa salio?