Hasson Da Melles
Member
- Aug 11, 2012
- 76
- 3
kuna wengi haswa wale wanao waficha wazazi wao kuhusu HESLB wakidhani Mkopo ni Obligatory kwa Kila Mwanafunzi....
Basi wazazi wao hela hufanyia mambo Mengine Bila Kujua Requirements za Chuo si Kama Secondary!!!!
mfano Advance na O level Matibabu ni 10,000
Balaa la Chuo Matibabu ni 100,000
nadhani Rank itapanda Mpaka!!"!!!!
****upate mkopo ukose Kujipanga ndio Kila Kitu
Bro wangu XXXXX aliacha Chuo sababu ya Mkwanja!!!
Basi wazazi wao hela hufanyia mambo Mengine Bila Kujua Requirements za Chuo si Kama Secondary!!!!
mfano Advance na O level Matibabu ni 10,000
Balaa la Chuo Matibabu ni 100,000
nadhani Rank itapanda Mpaka!!"!!!!
****upate mkopo ukose Kujipanga ndio Kila Kitu
Bro wangu XXXXX aliacha Chuo sababu ya Mkwanja!!!