CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 930
Wakuu nina mtoto wa kiume ambaye ndiye first born wangu mwenye miaka9,huyo dogo nilikuwa nikiishi nae hapa dar,lakini nilikua nikipata kesi nyingi za ugomvi every day,mwaka jana nikakata shauri nikampeleka kwa bibi yake yaani mamangu mzazi kijijini kwetu Musoma.
Wiki iliyopita nilipigiwa simu na mamangu kwamba dogo kampiga dogo mwenzie mwenye miaka 12 mpaka kamng'oa meno kwa hiyo kuna kesi na inatakiwa elfu70 ya matibabu,nikatuma hiyo pesa.
Leo asubuhi nimepigiwa simu tena kwamba jana kulikuwa na mashindano ya box (ngumi) kuanzia watoto wa miaka 10-15,bcoz my soon ni mdogo aliamua kudanganya umri kwamba ana11 na ana uwezo wa kupigana then akaruhusiwa kupigana.
Mdogo wangu ndiye aliyetoa ruksa hiyo kwa lengo la kumkomesha dogo ili adundwe aache ugomvi mtaani,cha ajabu dogo alipafom mpaka jukwaa zima wakawa wanamshangilia,alipigana pambano1 na alishinda kwa round ya kwanza tena kwa kumpiga ngumi 6 tuu adui yake,na akapata zawadi ya tsh150,000 cash.
Sasa kuna jamaa wa Holland wana academy ya box Kenya wamempenda dogo wanataka wamchukue waende nae Kenya na baadae Holland wamesema nikiwakabidhi wao watamuhudumia kila kitu mpaka atakapofikisha umri wa kujitegemea na akifikisha miaka 12 wataanza kumlipa some amounts.
Nimewambia waje Dar tuonane na watakuja ijumaa this week.
Nipo tayari kumwachia but mamake hataki kusikia habari hiyo ya ngumi,pls ushauri.
Wiki iliyopita nilipigiwa simu na mamangu kwamba dogo kampiga dogo mwenzie mwenye miaka 12 mpaka kamng'oa meno kwa hiyo kuna kesi na inatakiwa elfu70 ya matibabu,nikatuma hiyo pesa.
Leo asubuhi nimepigiwa simu tena kwamba jana kulikuwa na mashindano ya box (ngumi) kuanzia watoto wa miaka 10-15,bcoz my soon ni mdogo aliamua kudanganya umri kwamba ana11 na ana uwezo wa kupigana then akaruhusiwa kupigana.
Mdogo wangu ndiye aliyetoa ruksa hiyo kwa lengo la kumkomesha dogo ili adundwe aache ugomvi mtaani,cha ajabu dogo alipafom mpaka jukwaa zima wakawa wanamshangilia,alipigana pambano1 na alishinda kwa round ya kwanza tena kwa kumpiga ngumi 6 tuu adui yake,na akapata zawadi ya tsh150,000 cash.
Sasa kuna jamaa wa Holland wana academy ya box Kenya wamempenda dogo wanataka wamchukue waende nae Kenya na baadae Holland wamesema nikiwakabidhi wao watamuhudumia kila kitu mpaka atakapofikisha umri wa kujitegemea na akifikisha miaka 12 wataanza kumlipa some amounts.
Nimewambia waje Dar tuonane na watakuja ijumaa this week.
Nipo tayari kumwachia but mamake hataki kusikia habari hiyo ya ngumi,pls ushauri.