dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 9,746
- 16,495
Hahahaha Hivi wee bib lini utakuwa kizee mbna unazinguaa snaMwanamme unataka kuoa unakuja kuuliza wanaume wenzako wakusaidie?
Nakushauri olewa wewe.
Hahahaha Hivi wee bib lini utakuwa kizee mbna unazinguaa snaMwanamme unataka kuoa unakuja kuuliza wanaume wenzako wakusaidie?
Nakushauri olewa wewe.
OA WAWILI MNGONI NA kabila jingine, ili mngoni awe wa kuazia tu maisha.Swali langu linajitosheleza wana jf mnisaidie niingie Chaka ndugu zangu. Nampenda kweli lakini bado hatuja "du". Niepuke nini?
Maneno makali!!!.. MUNGU hapendi matusi kama haya.....mwanaume anaolewaje..!!!???..Mwanamme unataka kuoa unakuja kuuliza wanaume wenzako wakusaidie?
Nakushauri olewa wewe.
Umalayani hulka na asili yao heshima ni mafunzo ya kimaarifa zaidi.hii kitu inanishangaza sna mtu kuwa na heshima halafu ni malaya nilishapitia hili kwa mmoja mwanzo sikujua km ni mke wa mtu
We kaoe Mzee. Mengine utakutana nayo huko huko.Swali langu linajitosheleza wana jf mnisaidie niingie Chaka ndugu zangu. Nampenda kweli lakini bado hatuja "du". Niepuke nini?
Balaaa sasa hilo mkuu. Ila ndiyo watoto wa kingoni hao ni kama wamechanjiwa juu ya ukuniMm alitaka tuzae nae Kisha ile mimba ambambike mume wake