Kutokana na changamoto ya ajira serikalini na private sector nimepata wazo la kwenda Kwa mkuu wa wilaya nikajieleze kule akishindwa nitaenda Kwa mkuu wa mkoa huko ikiwa shida nawaza niende utumishi na vyeti vyangu nikalie huko kwa watanzania wenzangu huenda wakanisaidia na Mimi nikaingia kwenye system.
Ikishindikana naenda Kwa Paul Makonda Ndo hayo tuu wakuu je, inawezeka wakanisikiliza maana ndo wazo langu Hilo limenijia wakati nipo kwenye meditation/tafakuri.
Natanguliza shukrani
Ikishindikana naenda Kwa Paul Makonda Ndo hayo tuu wakuu je, inawezeka wakanisikiliza maana ndo wazo langu Hilo limenijia wakati nipo kwenye meditation/tafakuri.
Natanguliza shukrani