Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,974
- 22,166
Nasikilza redio moja jamani
kuna waziri wa serikali ya iliokuwa ya zambia amekutwa ameweka mapipa mawili chini na kusakafia na tiles
kumbe chini kaweka doller zenye thamani ya shi million 800
sasa basi waziri huyu leo wametangaza kumshtaki na moja ya kesi yake ni kwa kuhifadhi fedha chini ya ardhi yaani kuzika fedha na mengine ya ufisdai je
mawaziri wetu wanawekaga wapi pesa zao ???
Embu tukafate yala maeka yakina sumaye jamani yakina mkapa na wengineo walaikamata shehena kadhaa za vitalu huku wananchi husika wakiteseka
wana sheria huyu anafunguliwa mashtaka gani!!maana naona hata kuumuita fisadi ni dhambi na kajisenti chake
kuna waziri wa serikali ya iliokuwa ya zambia amekutwa ameweka mapipa mawili chini na kusakafia na tiles
kumbe chini kaweka doller zenye thamani ya shi million 800
sasa basi waziri huyu leo wametangaza kumshtaki na moja ya kesi yake ni kwa kuhifadhi fedha chini ya ardhi yaani kuzika fedha na mengine ya ufisdai je
mawaziri wetu wanawekaga wapi pesa zao ???
Embu tukafate yala maeka yakina sumaye jamani yakina mkapa na wengineo walaikamata shehena kadhaa za vitalu huku wananchi husika wakiteseka
wana sheria huyu anafunguliwa mashtaka gani!!maana naona hata kuumuita fisadi ni dhambi na kajisenti chake