Waziri wa nishati na madini Mh Muhongo afukuza mwekezaji aliyetaka kuwekeza Usd 20 BILLION Tanzania

Je Mheshimiwa JK unayo habari kuwa kuna mwekezaji (serikali ya UAE) alikuja Tanzania miezi 2 iliyopita na kuahidi angewekeza kwenye uchumi wa Tanzania dola bilioni 20 kwa mwaka kwenye miradi ya maendeleo na uchumi Tanzania kwa sharti la kutaka proposal yake ipitiwe lakini kilchotokea ni kuwa waziri SOSPETER MUHOGO aliwatimua na aligoma hata kujibu proposals walizokuja nazo hawa watu

Katibu mkuu kiongozi Balozi Ombeni Sefue alishapatiwa taarifa lakini kuna habari kuwa barua za malalamishi hazijafika kwa bosi wake...yaani JK.

Kuna watu wanajaribu kuizima hii habari lakini hii ndio Tanzania, nchi ya kufikirika ambayo wananchi wanafichwa na hawaambiwi kinachoendelea

Hivi mnajua 20 billion USD ni sawa na trilioni ngapi za Tanzania?

halafu tunatafuta mchawi

cha ajabu Zitto Kabwe ambaye ni waziri kivuli anajua hii habari lakini naye hakusema kitu bungeni zaidi ya kulalamika pembeni

Mnauza nchi kwa kutuletea vihoja vya uwekezaji.Kwani lazima wawekezaji watoke nje? Nchii si ya kwetu kwanini tunataka watu wa nje waje waijenge? Tuache kuwa wavivu na opportunists. Hongera Prof kwa kukataa proposal za magumashi. Kama wanataka wafanye wenyewe.
 
Je Mheshimiwa JK unayo habari kuwa kuna mwekezaji (serikali ya UAE) alikuja Tanzania miezi 2 iliyopita na kuahidi angewekeza kwenye uchumi wa Tanzania dola bilioni 20 kwa mwaka kwenye miradi ya maendeleo na uchumi Tanzania kwa sharti la kutaka proposal yake ipitiwe lakini kilchotokea ni kuwa waziri SOSPETER MUHOGO aliwatimua na aligoma hata kujibu proposals walizokuja nazo hawa watu

Katibu mkuu kiongozi Balozi Ombeni Sefue alishapatiwa taarifa lakini kuna habari kuwa barua za malalamishi hazijafika kwa bosi wake...yaani JK.

Kuna watu wanajaribu kuizima hii habari lakini hii ndio Tanzania, nchi ya kufikirika ambayo wananchi wanafichwa na hawaambiwi kinachoendelea

Hivi mnajua 20 billion USD ni sawa na trilioni ngapi za Tanzania?

halafu tunatafuta mchawi

cha ajabu Zitto Kabwe ambaye ni waziri kivuli anajua hii habari lakini naye hakusema kitu bungeni zaidi ya kulalamika pembeni


Yeah hela hizo Unaziona tamu kwako Waarabu wangapi wapo huko Serengeti umeona faida kwa Wananchi? zaidi ya

kupaki ndege zao na kubeba Wanyama? Leo hii Umesikia Dola Milioni 20 Unaruka juu na macho yanakutoka unazitaka

Haujui wanataka kuinvest wapi kwa ajili gani na unajua sehemu wanazoinvest wanazifunga... kwasababu ni maeneo

Yao ya Mapumziko kwahiyo wewe na Mimi hatutakanyaga huko... wewe Macho yako ni hizo Dola... tuna GAS kama wao

Tukitumia Vizuri tunaweza tukana na pesa za kutosha na kulinda ARDHI zetu... WAENDE ZAO; kama unataka

NENDA NAO UFUATE HIZO $$$...
 
Wewe unaangalia pesa tu labda kuna money Laundering.

Maundumula, kweli kabisa mkuu. Kuna watu hawataki kutumia vichwa vyao na wanataka kila mtu asitumie cha kwake. Mkuu hii nchi ni yetu na tuwe na busara sasa kuanza kuchakarika wenyewe ili tuweze kuijenga. Tunajiuza kwa bei poa mpaka lini?
 
Last edited by a moderator:
Siwezi comment unless mleta mada aweke hadharani alitaka wekeza kwenye nini and for how long!
Prof najua ni timamu ingekuwa dili ya maana asingeikataa more comments to come when you give us the full details of what prevailled!

Hata Idrissa Rashid wa TANESCO alikuwa timamu na mwishowe akaishia wapi?

Ukweli ni kuwa sisi ni wazuri wa ku reward incompetency.

Siku tukiacha kuwa waoga na waficha mambo then naamini tutakuwa mbali

waziri wa uwekezaji yuko wapi?

waziri wa biashara yuko wapi?

waziri wa mambo ya nje anasemaje?

waziri mkuu yuko wapi?
 
Hata Idrissa Rashid wa TANESCO alikuwa timamu na mwishowe akaishia wapi?

Ukweli ni kuwa sisi ni wazuri wa ku reward incompetency.

Siku tukiacha kuwa waoga na waficha mambo then naamini tutakuwa mbali

waziri wa uwekezaji yuko wapi?

waziri wa biashara yuko wapi?

waziri wa mambo ya nje anasemaje?

waziri mkuu yuko wapi?

MASWALI MAGUMU

MAJIBU MEPESI

WENZAKO WANATAKA MWEKEZAJI AWE HIVI:

Paul-Hinks.jpg



Symbion refutes
 
  • Thanks
Reactions: Wun
Alitaka kujenga misikiti mingapi?Au alikuwa anataka kuwekeza katika ugaidi?So ameenda Nigeria kwa boko haramu au bado anazubaa nazo pale posta?Emu niipe detail yakutosha maana Muhongo sio kichaa sasa inakuaje akatae nayeye ni prof?Basi akampelekee Sheikh Ponda
 
profesa alisema kuwa kuna wabunge wanaleta wawekezaji, lakini tena toka dubai, alipoenda au peleleza akakuta hata ofisi hawana, nadhani ndo huyu. tena kwa jinsi nilivyomsikiliza alionya wabunge kuwa wahakikishe hao wawekezaji ni serious sana sana
 
Waziri siyo kichaa akatae proposal bila hoja za msingi tusiangalie upande mmja.Mbona huyu mheshimiwa ana andamwa au kwa kwa vile anazuia maulaji ya wakubwa.
 
Wimbi la mbele nadhani una hasira za kunyimwa uwaziri akapewa Mh. Muhongo, then unalalamika au wewe ni kishoka wa Tanesco? Acha Muhongo ahudumie nchi yake. Watu kama hawa ni wachache sana kwenye hii serikali iliyooza namaanisha Dr. Mwakyembe, Prof. Muhongo, Dr. Magufuli, Prof. Tibaijuka, Dr. Kigoda, Kagasheki
 
profesa alisema kuwa kuna wabunge wanaleta wawekezaji, lakini tena toka dubai, alipoenda au peleleza akakuta hata ofisi hawana, nadhani ndo huyu. tena kwa jinsi nilivyomsikiliza alionya wabunge kuwa wahakikishe hao wawekezaji ni serious sana sana

MEN LIE, WOMEN LIE, NUMBERS DON'T LIE

TypeJoint stock company (Government owned)
IndustryDiversified Investments
FoundedOctober 2002
HeadquartersAbu Dhabi, United Arab Emirates
Key peopleHH Sheikh Mohammed bin Zayed Al Nahyan, Chairman
Khaldoon Khalifa Al Mubarak, CEO and Managing Director
Revenue
11px-Increase2.svg.png
US$7.59 billion (2011)
Net income
11px-Increase2.svg.png
US$1.14billion (2011)
Total assets
11px-Increase2.svg.png
US$ 48.19 billion (2011)
Total equity
11px-Increase2.svg.png
US$ 28.97 billion (2011)
Employees700 (2011)
WebsiteMubadala Development Company | Abu Dhabi, United Arab Emirates | Home



 
hivi huyo mwekezaji mwenye $20b hajui kwamba tuna TIC ambao ndio wenye kusoma proposals, pia hajui kwamba tuna wizara inayo shughulikia uwekezaji? zaidi hapo hajui kwamba tuna wizara ya biashara na viwanda, yeye akaiona wizara ya madini na nishati tu? na process yake ya uwekezaji inaanzia hapo kwa Prof na kuishia hapo hapo kwa Prof Muhongolo? au njaa ilikuwa inamuuuma hivyo alikuwa ana kimbilia pilau sehemu?
 
Revenue
11px-Increase2.svg.png
US$7.59 billion (2011)
Net income
11px-Increase2.svg.png
US$1.14billion (2011)
Total assets
11px-Increase2.svg.png
US$ 48.19 billion (2011)
Total equity
11px-Increase2.svg.png
US$ 28.97 billion (2011)

hizi taarifa ni za uongo kama ana mapato ya dola bilioni 7.59 yawaje kila mwaka awekeze bilioni 20 atazitoa wapi kila kwa mwaka kwani zimezidi mtapato yake kwa mwaka kwa karibu mara tatu hivi?

Huyu mwarabu mapato yake lazima yawe angalau dola bilioni 500 kwa mwaka kufikiria uwekezaji wa dola bilioni 20 nazo ziwe mkupuo mmoja na wala siyo kila mwaka..........................hizi pengine ndizo sababu tapeli huyu alitupiwa virago vyake.......................na masharti yake hatuyajui kama siyo kuishinikiza apewe nafasi ya kuchukua mikopo kwenye mabenki kwa udhamini wa serikali yetu..............na alitaka kuwekeza kwenye nini ambako huko kwao hailipi?
 
Samahani mkuu Wimbi la mbele,sasa huo uwekezaji wa uchumi wa Tanzania unauhusiano upi wa moja kwa moja na wizara ya nishati na madini?Hebu nieleweshe kidogo mkuu wangu. (NB:Usitishwe na matusi ya wachangiaji ni kuwazoea tu!)
 
Which side are u playing Mkuu? There is some thing missing from your details yaan from no where without reason Prof. Muhongo anaweza kukataa Mwekezaji?Au ameona kuna harufu ya ......:loco: Ebu jipambanue vizuri mkuu yawezekana unapoint nzuri unataka kushare.
 
hizi taarifa ni za uongo kama ana mapato ya dola bilioni 7.59 yawaje kila mwaka awekeze bilioni 20 atazitoa wapi kila kwa mwaka kwani zimezidi mtapato yake kwa mwaka kwa karibu mara tatu hivi?

Huyu mwarabu mapato yake lazima yawe angalau dola bilioni 500 kwa mwaka kufikiria uwekezaji wa dola bilioni 20 nazo ziwe mkupuo mmoja na wala siyo kila mwaka..........................hizi pengine ndizo sababu tapeli huyu alitupiwa virago vyake.......................na masharti yake hatuyajui kama siyo kuishinikiza apewe nafasi ya kuchukua mikopo kwenye mabenki kwa udhamini wa serikali yetu..............na alitaka kuwekeza kwenye nini ambako huko kwao hailipi?

 
20 bil dollars kwenye kauchumi ka Tanzania si tutapaliwa? Mhm, mambo mengine huitaji kuwa mchumi kuguna. Hio kampuni ina mtaji kiasi gani? Ni wapi kwingine imewekeza?
 
Which side are u playing Mkuu? There is some thing missing from your details yaan from no where without reason Prof. Muhongo anaweza kukataa Mwekezaji?Au ameona kuna harufu ya ......:loco: Ebu jipambanue vizuri mkuu yawezekana unapoint nzuri unataka kushare.
nini cha ajabu hapo?
mbona mlizima umeme kwa kusudi ili nchi iwe kwenye giza au ushasahau RICHMOND?

unashangaa nini hapo?
 
20 bil dollars kwenye kauchumi ka Tanzania si tutapaliwa? Mhm, mambo mengine huitaji kuwa mchumi kuguna. Hio kampuni ina mtaji kiasi gani? Ni wapi kwingine imewekeza?


Hebu jaribu kusoma post ya kwanza utaona waliko invest hawa jamaa
TypeSovereign wealth fund
IndustryInstitutional investor
Founded1976
HeadquartersAbu Dhabi, United Arab Emirates
Key people Sheikh Khalifa bin Zayed Al Nahyan, Chairman
Sheikh Hamed bin Zayed Al Nahyan, Managing Director
Total assetsestimated $300 - $875 billion[SUP]http://en.wikipedia.org/wiki/Abu_Dhabi_Investment_Authority#cite_note-assets-0[/SUP]
Websitewww.adia.ae

Abu Dhabi Investment Authority
 
Back
Top Bottom