Waziri wa nishati na madini Mh Muhongo afukuza mwekezaji aliyetaka kuwekeza Usd 20 BILLION Tanzania

hii deal ilikuwa na viungo vya ki-nigeria, only a naive and gullible can jump on your wagon baby! muhongo keep on bursting those fake-ass deals.

Sikuzote matapeli huw wanakuja na proposal nzuri na za kuvutia..mwisho wake ni kilio..nampa 100 wazir husika...


Tataizo la hawa ni :
WAISLAM
WAARABU

this doesnt abode well na GREAT THINKERS wa JF

sasa investor ana worth usd bilioni 800 na usheee atashindwa kutoa hizo bilioni 20?

udini una cloud judgement yetu

mimi nishasema wakishasali taraweh watapigiana simu ili kujua ukweli ni upi na kesho wajibu vipi mapigo
 
Prof. Muhongo ana exposure kwahiyo sio rahisi kumuingiza choo cha wanawake kama hao vilaza wengine walivyoingizwa!!
 
Huyu mleta hoja hajui anasema nini; sampuli ya hawa vilaza ndio wananunuliwa suti na kuuza nchi, ni lazima tuwe na wakina Prof. Muhongo wengi wasiokuwa wachumia tumboni ndio nchi itasalimika!!

Unaonaje kwanza ukianza kupitia profile ya hiyo MUBADALA na profiles za hao Directors?!
 
Hata sielewi. Kwa kuwa 20bilioni lazima wakubaliwe? Kwa kuwa Zitto ana taarifa basi lazima azungumzie bungeni? Halafu JK anakutana ikulu na NAIBU Waziri wa mambo ya nje?

Au mtoa mada ndo kuwadi wa hiyo kampuni?
 
Kuna kitabu cha marehem prof chachage kinaitwa MAKUWAD WA SOKO HURIA,,,,,,,
WIMBI LA MBELE NAWE NI KUWADI
 
Unaonaje kwanza ukianza kupitia profile ya hiyo MUBADALA na profiles za hao Directors?!

Nadhani hata kama mmelipwa kuwafanyia ukuwadi basi nadhani uamuzi uliofanywa na Waziri wetu ni sahihi. Profile hizi za mitandao hupikwa kukidhi mahitaji lengwa, kama ile ya Richmond
 
Prof. Muhongo ana exposure kwahiyo sio rahisi kumuingiza choo cha wanawake kama hao vilaza wengine walivyoingizwa!!

nimecheki profile wa hizo kampuni ma mmoja wapo ni Sheikh Khalifa bin Zayed Al Nahyan ruler wa UAE ambaye huyu hapa kwenye picha na bi mkubwa

Sheikh+Khalifa+bin+Zayed+Al+Nahyan+Queen+Elizabeth+KK2XhsvleCDl.jpg



so basically GREAT THINKERS wa JAMII FORUMS mnasema kuwa huyu jamaa anataka kumtapeli waziri wa Sospeter Muhogo sio?
 
Nadhani hata kama mmelipwa kuwafanyia ukuwadi basi nadhani uamuzi uliofanywa na Waziri wetu ni sahihi. Profile hizi za mitandao hupikwa kukidhi mahitaji lengwa, kama ile ya Richmond

Yaani huyu rais wa nchi ya UAE profile yake imepikwa

sasa inawezekana kuwa hata huo ufalme wa UAE nao umepikwa au?

Sheikh-Khalifa-bin-Zayed-al-Nahayan-UAE1.jpg
 
Ogopa sana kusimama kwenye Mlingoti wa Taa nyakati za usiku.

Pamoja na kuwa ndiyo inasambaza mwanga, ila chini yake ndiyo pamejaa GIZA.

Utagundua hilo usiku kwani Mataifa mengi, usiku ndiyo Changudoa (ASHAWO) wanapenda sana kusimama hapo.
nimecheki profile wa hizo kampuni ma mmoja wapo ni Sheikh Khalifa bin Zayed Al Nahyan ruler wa UAE ambaye huyu hapa kwenye picha na bi mkubwa

Sheikh+Khalifa+bin+Zayed+Al+Nahyan+Queen+Elizabeth+KK2XhsvleCDl.jpg



so basically GREAT THINKERS wa JAMII FORUMS mnasema kuwa huyu jamaa anataka kumtapeli waziri wa Sospeter Muhogo sio?
 
Ameshapewa ubwabwa apime upepo wa humu ndani.

Ogopa sana kusimama kwenye Mlingoti wa Taa nyakati za usiku.

Pamoja na kuwa ndiyo inasambaza mwanga, ila chini yake ndiyo pamejaa GIZA.

Utagundua hilo usiku kwani Mataifa mengi, usiku ndiyo Changudoa (ASHAWO) wanapenda sana kusimama hapo.

Kosa hapa ni kuwa mwekezaji ni muislam na mwarabu

bora wangekuja wazungu na wakristu ambao wana JF wanapenda kuwapapatikia

this was bound to fail from day 1
 
Nadhani hata kama mmelipwa kuwafanyia ukuwadi basi nadhani uamuzi uliofanywa na Waziri wetu ni sahihi. Profile hizi za mitandao hupikwa kukidhi mahitaji lengwa, kama ile ya Richmond

Pole sana.....kwa taarifa yako, ni mtu mvivu tu ambae anaweza kutoa conclusion mbovu kama zako! Mtu makini hawezi ku-rely kwenye source moja tu; binafsi hadi hapa ninapojibu post yako tayari nimeshatembelea source zaidi ya 5 kuhusu MUBADALA na hao Executives! Watu wavivu kama wewe ndo mnaishia kusema "eti mmelipwa!" tafuta info badala ya kuandika kitu usichokifahamu!
 
Kwahiyo ukiwa na dhamana ya mali yenye thamani ya $800biln, ukubalike tu kirahisi.
Hatutahoji uzoefu wako? Hatutaangalia maslahi yetu?

Source: Prof Mhongo.
 
Pole sana.....kwa taarifa yako, ni mtu mvivu tu ambae anaweza kutoa conclusion mbovu kama zako! Mtu makini hawezi ku-rely kwenye source moja tu; binafsi hadi hapa ninapojibu post yako tayari nimeshatembelea source zaidi ya 5 kuhusu MUBADALA na hao Executives! Watu wavivu kama wewe ndo mnaishia kusema "eti mmelipwa!" tafuta info badala ya kuandika kitu usichokifahamu!

Unaweza kutembelea source hata mia, ni matembezi tu. bado umeshindwa kutumia ulichopata huko ulikotembelea kujenga hoja kwa nini hao bwana zako wakubaliwe kuwekeza
 
Kuna wengine walikuja kwa jina la KEMPINSKI.

Wakaishia kuwanunua Mawaziri wetu Suti za Uingereza na kuwapeleka Out for shopping huko majuu kwa siku kadhaa.

Pia wakawa wanawapa hela matumizi na chumba cha kustarehe hapo Kempinski.

Asante yake wakajenga Mahoteli mbungani na wakawa mbioni kujenga hotel lao Zanzibar sehemu inayolindwa na UNESCO. Lilipozuka liugomvi kubwa sana hapo, Waarabu wakaiuza Kempinski kwa Wathailand.

LIFE'S GOOD. Hakuna Mwislaam hapa wala Mkristo. Mbona Mwigulu Lameck Mchemba na ukristo wake tunamchana live?

Mbona Kilango na Makinda pamoja na Magmba wengine wengi Wakristo tunawachana live? ACHA COMPLEX veve....
Kosa hapa ni kuwa mwekezaji ni muislam na mwarabu

bora wangekuja wazungu na wakristu ambao wana JF wanapenda kuwapapatikia

this was bound to fail from day 1
 
Hongera Mh. Waziri kwa kumtimua huyu mwekezaji!!! Hakuna watu wajanza kama waarabu. Ni nani anakumbuka vyema wakati wa Uongozi wa Rais wa Awamu ya pili jinsi hawa watu wajipatia hata maeneo kwenye mbuga zetu, na kutuleta madawa ya kulevya kibao? Ni nani anakumbuke hata kijana wa kifalme alifia hotelini Dara hapa kwa kifo ambacho hakikueleweka na ujio wake pia? Bora hizi rasilimali zetu zitulie kwanza, haziozi na tutazichimba tu. Why hurrying selling every wealth of this country na tutabaki poor of the poorest. Hivi mnajua kuwa hizi natural resources not are non-renewable? Zikiisha zimeisha!!! Tuwe na busara na tutafute wawekezaji kwa busara.
 
Back
Top Bottom