Waziri wa Michezo, FIFA na CAF tunaomba tusaidieni: wachezaji watoto wameanzaje kutumikishwa kujenga miundombinu ya michezo Tanzania?

Tatizo la watanzania wengi linaanzia kichwani , Sheria ipi inamlazimisha mtu kumlipa mtoto wakati hayuko kwenye mkataba wa ajira yoyote , kwenys ma elfu ya watoto wa umri wao washukuru kupatiwa nafasi hiyo.
Acha kutetea ujinga na uonevu wewe, hivi mtu ukiwa CCM ni lazima uwe mpumbavu muda wote na kutetea wizi wizi au?? Sielewi.

Hivi bila hao watoto kwenda kushiriki hayo mashindano hizo hela mngezipataje? Hao watoto mngewadhurumu Nini hasa?

Hivi unafikiri kwa hiki mlichokifanya Kuna mzazi mwenye akili timamu atamruhusu mtoto wake kwenda kurisk afya yake kwa ajili ya kupata 20,000/=??

Huwa nasema kila siku humu Michael wa Soka la Tanzania ni TFF wenyewe na sio kitu kingine
 
Hivi unaweza kunieleza kwanini timu ya vijana ya wazanzibar umepewa milipni 50 na rais wa muungano, hao vijana wapewe wanachostahili ingekuwa nchi nyingine mawakili wangeshanunua kesi Ila wa kwetu wanaosubiri kesi zenye attention
Huyo atakiwa ni mmoja wapo wa machawa wa vigogo wa TFF wale wenye mavitambi makubwa sababu ya rushwa.

Hajui hichi anachokitetea kina ua kabisa Soka la Tanzania hasa kwa vijana... Leo hakuna mzazi mwenye akili timamu atamruhusu mtoto wake aende akaweke rehani miguu yake halafu mwisho wa siku aje kuambulia elfu 20 wakati wameingiza mamilioni
 
Acha kuandika upumbavu, Jamal Yamal mwenye umri wa miaka 15 pale Barcelona unajua analipwa kiasi gani?

Unafikiri anacheza Bure pale Barcelona au analipwa hela ya soda kama mnavyowafanya hawa watoto?
Unaji expose your tiny thinking capacity.... Nyamaza.

Hapa ni Tanzania, Sio Barcelona.

Karibia nusu ya Watanzania wanaangukia Kundi la Watoto...

Hiyo Platform waliyoipata hao Watoto ni Kitu kikubwa. Kantalamba na Kule nangurukuru Kuna Vipaji Lukuki,Lkn viliachwa Wakabahatika hao.Washukuru tu.
 
Labda na mimi sijui ukweli na nini kinafanyika timu ya taifa ikishinda amshindano yoyote au club...!! je huwa zile hela zinagawiwa kwa wachezajii??? je vijana hao wanalipwa mshahara kuchezea timu ya taifa??? kama hawalispwi chochote zaidi ya sifaaa tu bhasi ni tatizo kubwa
 
Unaji expose your tiny thinking capacity.... Nyamaza.

Hapa ni Tanzania, Sio Barcelona.

Karibia nusu ya Watanzania wanaangukia Kundi la Watoto...

Hiyo Platform waliyoipata hao Watoto ni Kitu kikubwa. Kantalamba na Kule nangurukuru Kuna Vipaji Lukuki,Lkn viliachwa Wakabahatika hao.Washukuru tu.
Kummanyoko wewe ndio ume expose upumbafuu wako tangu awali ulivyoanza kuchangia Uzi huu.

Kwamba hutaki tutoe mifano ya Barcelona wakati wote tuko chini ya FIFA na Sheria zinazotumika ni zile zile?

Hujui kwamba kwamba Sheria za FIFA zinazomlinda Jamal Yamal ndio hizo hizo zinazomlinda huyo Saidi Abubakari wa huku kwenu Tanzania?

Yaani unataka kusema kuwa hao watoto kuchezea timu ya taifa ni malipo tosha kwa Sababu eti wamepata platform ya kuonesha talent zao!?.... Haloo hivi kwanini wewe ni mjinga hivi?

Kwamba eti mtu akiitwa kuchezea timu ya taifa ni kama vile amefanyiwa hisani, so alipwe asilipwe ni sawa tu serious? Pumbafuu kabisa.

Basi kama ni hivyo siku nyingine mkatafute hao wa Nangurukuja nao muwafanyie hisani.

Watu kama wewe ndio Huwa mnaona serikali inavyotimiza wajibu wake ni kama inawafanyia hisani wanainchi.
 
Back
Top Bottom