rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 15,403
- 20,569
Waziri alifungiwa kwa kutetea club zenye viongozi wajingaWaziri wa Michezo ana historia ya kufungiwa maisha kwa wizi akiwa wakala wa wachezaji unategemea kitu gani?
Waziri alifungiwa kwa kutetea club zenye viongozi wajingaWaziri wa Michezo ana historia ya kufungiwa maisha kwa wizi akiwa wakala wa wachezaji unategemea kitu gani?
Nenda kwenye website yao, nadhani yote unayouliza yapo.
Hivi unaweza kunieleza kwanini timu ya vijana ya wazanzibar umepewa milipni 50 na rais wa muungano, hao vijana wapewe wanachostahili ingekuwa nchi nyingine mawakili wangeshanunua kesi Ila wa kwetu wanaosubiri kesi zenye attentionUsichoelewa wale watoto hawakucheza bure, walilipwa. Leo kampuni inakulipa mshahara ili uiingizie faida cha ajabu faida inapatikana unaona nayo ni haki yako. Kampuni nyingi zinakupa bonus kutoka kwenye faida na tff wamefanya.
Tatizo mnashindwa kutofautisha kati ya uzalendo na ujinga, uzalendo ni pamoja na kujua haki zako unatumikishwaje kijinga?Ndugu muuliza Swali ,kwani Wewe Unataka iweje..?
Huitaki Miundo mbinu ya Michezo iboreshwe...? Au hutaki TFF wazielekeze huko..? Waache nao Watoto wachangie Taifa lao japo Kidogo.?
Mtawafundisha Lini Uzalendo hao Watoto..? Hilo ni Somo La Uzalendo pia..!
Majibu ya Karia ni ushahidi unaopaswa kumpeleka mahakamani.Rais wa TFF ametoka adharani na kusema fedha walizoshinda watoto under 15 zinakwenda kujenga miundombinu ya michezo. Amesema suala hilo lina baraka za CAF.
Tunaomba wizara itusaidie, hawa watoto walipewa mkataba unaosemwa wakipata fedha zinakwenda kujenga miundombinu? Sheria za kimataifa zinakubaliana na jambo hili? Kama hakuna mkataba nani alishiriki kufanya haya maamuzi?
Mbona timu za wakubwa hakuna hizi hoja ? Lakini kama huu ndio utaratibu kwanini msemaji wa TFF alisema wanashughulikia hundi? CAF wanashiriki vipi kubariki utumikishaji wa watoto kwenye michezo? FIFA wanawezaje kukaa kimya haya yakiwa yanatokea dhidi ya mtoto? Milioni 180+ unampa mtoto elfu 20 hata haitoshi kutibu majeraha tena unawatekeleza unakuja DSM?
Mawakili wateteeni hawa watoto yawezekana miaka yote wanafanyiwa hivi na hakuna miundombinu iliyojengwa na hata ikijengwa hiii ni child exploitation.
Tunaomba ufafanuzi wa kina siyo siasa: watuambie huu mkataba wakukata watoto fedha umeshawaumiza watoto wangapi?
Halafu swali la kujiuliza ni kwamba kama wasingeshinda hiyo miundo mbinu isingejengwa auMajibu ya Karia ni ushahidi unaopaswa kumpeleka mahakamani.
Yaani mumtumikishe mwanangu alete sifa kwa Taifa kisha zawadi wanazopewa mnazitumia kwa mipango yenu. Kwa watetezi wa Haki za Mtoto wanapaswa kupeleka kesi mahakamani kuhusu hili
Kuna fungu huwa linatolewa na Vyama vya Soka Africa kupitia FIFA....ajabu vizee kunyang'anya hela ya mtoto kifara namna hii.UTAPELI TU.
Kazi ya kujenga miundo mbinu ni kazi ya serikali kupitia Kodi za wananchi na misaada kutoka fifa na caf.
ndo maana nasema mawaziri wa michezo ni MIZIGO.
Na wewe jitahidiNaona Bwana Kidau unajitahidi kucopy na kupaste hii habari isiyo na reference kwenye kila mada inayohusu gawio la ushindi kwa watoto wetu. Hizi pesa lazima mzitapike mwaka huu. Tutawakalia kooni hadi mziteme.
Umefika kwenye website?Kumbe “unadhani” mkuu, huna uhakika!
Kuna wale wa kipindi Cha Malinzi waliovunjika miguu Huku wakiwa na Necta mbeleni walipewa hela Kama hizo ....Bila wazazi kung'aka Jamali alikuwa kaula.Kwanini hizo fedha wasikatwe na wakubwa pia?
Mmeona za watoto tu.
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Hawa watoto wanatakiwa wawe motivated waone kumbe mpira unalipa watie juhudi, hata wakirudi mtaani wanacha kuwatambia wenzao sasa mtu anarudi na majeraha na boxers zimechanika kesho atarudi tena?Tunayo Shida na Malezi ya Watoto kwa Sasa..!
Hivi Kitoto under 15 ukikabidhi Laki nzima ili iweje..?
Hiki Kitoto under 15 years Kikisha zoea pesa, Kesho kikiwa Kijizi Utamlaumu Nani..?
Umefika kwenye website?
Tunayo Shida na Malezi ya Watoto kwa Sasa..!
Hivi Kitoto under 15 ukikabidhi Laki nzima ili iweje..?
Hiki Kitoto under 15 years Kikisha zoea pesa, Kesho kikiwa Kijizi Utamlaumu Nani..?
Essien,etoo,Drogba,Jay Jay okocha n.k,Kuna fungu huwa linatolewa na Vyama vya Soka Africa kupitia FIFA....ajabu vizee kunyang'anya hela ya mtoto kifara namna hii.
Sawa cliford mario ndimbo tumekusikia...mwaka huu mtatema bungo manina zenuNdugu muuliza Swali ,kwani Wewe Unataka iweje..?
Huitaki Miundo mbinu ya Michezo iboreshwe...? Au hutaki TFF wazielekeze huko..? Waache nao Watoto wachangie Taifa lao japo Kidogo.?
Mtawafundisha Lini Uzalendo hao Watoto..? Hilo ni Somo La Uzalendo pia..!
Matapeli hawa Bila kuwafungia Busta wadogo zetu wataendelea kudhulumiwa.Essien,etoo,Drogba,Jay Jay okocha n.k,
Tangu wanacheza hawajawahi kufanyiwa mchezo kama huo na vyama vyao vya soka.
mi wakwangu simpelekiHao watoto wamepatiwa platform ya kuonyesha vipaji sio kulipwa hakuna Sheria ya kumlipa mtoto na zawadi ni ya shirikisho inajukumu la kuwatunza hao watoto wakiwa kambini .
Acha kuandika upumbavu, Jamal Yamal mwenye umri wa miaka 15 pale Barcelona unajua analipwa kiasi gani?Tunayo Shida na Malezi ya Watoto kwa Sasa..!
Hivi Kitoto under 15 ukikabidhi Laki nzima ili iweje..?
Hiki Kitoto under 15 years Kikisha zoea pesa, Kesho kikiwa Kijizi Utamlaumu Nani..?