Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
na we ni mhusika nn?hizo barua, registration number, namba za mitihani, forms za mahudhurio darasani, forms za kusign coursework zote wanazo pamoja na risiti za ada pia.
na we ni mhusika nn?hizo barua, registration number, namba za mitihani, forms za mahudhurio darasani, forms za kusign coursework zote wanazo pamoja na risiti za ada pia.
Kuna mtafaruku mkubwa ndani ya Chuo cha elimu ya biashara kampasi ya Dodoma.Mwaka 2009 kuna baadhi ya wanafunz waliokuwa mwaka wa pili (Advanced diploma) ktk matokeo yao ya semister ya nne walipata dicso(discontinuity) lakin wakiwa ktk harakati za kukata rufaa na kufuata taratibu zote wakapata ushawishi toka kwa mkuu wa idara ya masomo ya jioni kua rufaa hizo wasingeweza kushinda, hivyo kuwasaidia tu ni kwamba angewaruhusu kuwaingiza ktk programu ya masomo ya jioni. Hivyo wanafunz hao wapatao kumi wakakubaliana nae na kweli wakaingizwa ktk program ya masomo ya jioni (NIGHT COLLEGE) wakaanza kusoma toka december 2009 wakafanya tena mitihani ya mwaka wa 2 upya (semister ya III&IV) wakaingia mwaka wa 3 mwez June 2010 wakafanya mitihani ya semister ya V vizuri bila matatizo, wakaendelea kusoma semister ya VI ilipofika wakati wa mitihani mwezi wa 5 mwaka huu, hapo ndipo zilipoanza sarakasi, wengine wakaambiwa kuwa hawakuwa wanafunzi HALALI wakati huo wengne kati yao wakiruhusiwa kufanya mitihani. Wakajaribu kumfata yule mkuu wa idara ya masomo ya jioni (ndiye aliye wafanyia usajiri) akasema file lipo kwa Accademic officer, wakienda huko wanaambiwa file lenu halionekani, mpaka leo hawajapata suluhsho wanahangaika tu mtaani.Sasa nikajiuliza tangu mwaka 2009 wanalipa ada, wanapewa namba za kufanyia mitihani, matokeo yanatoka, iweje leo si wanafunz halali?, kwa nini wengine waliokuwa na the same issue waruhusiwe kufanya mitihan?. Serikali iwasaidie vijana hawa kupata haki yao.
mkuu mimi si muhusika, nimepewa full details na vijana hao nilipo kuwa ktk shughul zangu binafsi hapo chuoni isitoshe hawa jamaa niliwaacha chuoni hapo mwaka 2008.na we ni mhusika nn?
Ungewashauri watafute vyuo kuliko kuendelea kupoteza muda wao. Wamefanya makosa naamini prospectus inaelekeza kila kitu; ni namna gani mtu anaweza kukoma kuwa mwanafunzi.mkuu mimi si muhusika, nimepewa full details na vijana hao nilipo kuwa ktk shughul zangu binafsi hapo chuoni isitoshe hawa jamaa niliwaacha chuoni hapo mwaka 2008.
me mwenyewe nashangaa..m2 ukiisha disco,solution ni kutafuta chuo kingne na kuanza upya,sasa wao wamepoteza mda wao huko bure 2.Ungewashauri watafute vyuo kuliko kuendelea kupoteza muda wao. Wamefanya makosa naamini prospectus inaelekeza kila kitu; ni namna gani mtu anaweza kukoma kuwa mwanafunzi.