LTN USU WA MADOSO
JF-Expert Member
- Sep 14, 2016
- 1,193
- 859
Wizara ya elimu sayansi na teknolojia imefuta posho ambazo walikuwa wanalipwa walimu pindi wako kwenye kazi ya kusairisha mitihani kama pesa yao ya kujikimu badala yake serikali imedai kuwa zoezi hilo ni sehemu ya kazi yao wakati huo posho hizo zilikuwa zinawasaidia walimu kujikimu pindi walipokuwa kwenye zoezi hilo.
Pia Prof. Joyce Ndalichako amesema yupo mbioni kuisuka wizara ya Elimu Upya.
Chanzo: Magazeti ya leo
Pia Prof. Joyce Ndalichako amesema yupo mbioni kuisuka wizara ya Elimu Upya.
Chanzo: Magazeti ya leo