Waziri Sitta amlipua Lowassa Bungeni

Siasa kama mpira unatumia kosa la mwenzio una wini,ndicho kinachofanya ccm wanaweweseka mda wooote na kutumia media na propaganda nyingi.....sa hata ndani ya chama wapo wanaoshindana kwa kuangalia nani kafanya kosa na wanakosoana kwa kutafuta credit
...ametumia nafasi yake kama msemaji mkuu wa serikali bungeni..(pinda yuko korea).na pia kama mbunge mzee zaidi bungeni..amemsifia JK(Nyerere) kwa kuchukua uamuzi mgumu wa kutuletea uhuru..amani..muungano na hata kutaka muungano wa africa mashariki..! siyo kama uamuzi mgumu wa siku hizi wa 10% na mikataba ya kitoto na mibovu..!(kumbuka Mh Lowassa ndiye aliyelianzisha la uamuzi mgumu..na pia ndiye aliyeachia ngazi kwa mkataba mbovu na wakitoto)... siasa bana..ukipata nafasi itumie maana hujui mwenzio atakuja na lipi.!
 
jaman huyu mzee noma.nakumbuka hapa mzumbe alipokuja kwenye kongamano,alikua anatema vitu vya uhakika.ivi JK mkimwambie akaongee na wasomi vyooni ataweza.sema basi vile nchi yetu haitaki watuwenyeuelewa mpana.
 
Siasa kama mpira unatumia kosa la mwenzio una wini,ndicho kinachofanya ccm wanaweweseka mda wooote na kutumia media na propaganda nyingi.....sa hata ndani ya chama wapo wanaoshindana kwa kuangalia nani kafanya kosa na wanakosoana kwa kutafuta credit
<br><br><span style="color: rgb(0, 0, 255);"><span style="font-family: century gothic;"><font size="4">

Edward Ngoyai Lowassa anavuna alichopanda na matokeo ya upotoshaji wa wapambe wake waliomuambia aibukie hapo. Watu walishamuweka kwenye kaburi la sahau lakini yeye akajidhani ni mahiri na akaibuka hoja ambayo sasa inazidi kummaliza. This is a suicide mission na sasa wacha moto huu umbabue.
 
Huu urahisi huu utawaua wazee nyie.....subirini nitakapokuwa rais wa nchi hii............mtalipa kwa sambi senu.....
 
Hatimaye mh. Samweli sitta amemjibu lowassa kuhusu uamuzi mgumu...''uamuzi mgumu wenye 10% siyo uamuzi mgumu.!

Tupe taarifa kamili mheshimiwa, what happened when, where, why,who na ikiwezekana How? Otherwise ngumu kuchangia! sio wwote tuko na "stima" (umeme)
 
...ametumia nafasi yake kama msemaji mkuu wa serikali bungeni..(pinda yuko korea).na pia kama mbunge mzee zaidi bungeni..amemsifia JK(Nyerere) kwa kuchukua uamuzi mgumu wa kutuletea uhuru..amani..muungano na hata kutaka muungano wa africa mashariki..! siyo kama uamuzi mgumu wa siku hizi wa 10% na mikataba ya kitoto na mibovu..!(kumbuka Mh Lowassa ndiye aliyelianzisha la uamuzi mgumu..na pia ndiye aliyeachia ngazi kwa mkataba mbovu na wakitoto)... siasa bana..ukipata nafasi itumie maana hujui mwenzio atakuja na lipi.!

Mambo ya siasa za bongo, utafikiri taarabu vile. Anyway, ndo wengine wanaingiza siku hivyo.
 
Huyu bwana hayo ya mikataba mibovu ya kununua mitambo ya Dowans, mitambo ya I PTL, maamuzi magumu ya kugombea urais pamoja na kashfa zake zote. Ni maamuzi magumu kufanya conspiracy ya kutumia fedha kuweka watu wake kwenye kamati za bunge kwa manufaa yake binafsi. Ni maamuzi magumu kukataa kwamba Chenge anahusika na kashfa ya rada.
 
Ninavyofahamu toka akina Mgonja na Mramba washitakiwe,watendaji wengi ktk serikali wanaogopa kufanya maamuzi. Ukichukulia wengi wanakaribia kustaafu,basi ndiyo wamekua waoga zaidi.
 
The show continues ... !!!
attachment.php
 

Attachments

  • Bounce+back+by+Jacob+Zuma.jpg
    Bounce+back+by+Jacob+Zuma.jpg
    21 KB · Views: 171
jaman huyu mzee noma.nakumbuka hapa mzumbe alipokuja kwenye kongamano,alikua anatema vitu vya uhakika.ivi JK mkimwambie akaongee na wasomi vyooni ataweza.sema basi vile nchi yetu haitaki watuwenyeuelewa mpana.

Mkuu natumai ulimaanisha Vyuoni, manake huko kwengine wanaweza wasienee na ikawa balaaa
 
Sita anachuki kwa kuukosa uspika na anjua alie chezesha hiyo kadi ni lowasa hivyo anatumia nafasi hiyo kulipa kisasi lakini naona sawa kwani wanapigana kuvunja ukuta unaowakwamisha watanzania kusonga mbele.
 
hili saga mweisho wake ni 2015 kunye kura za maoni ya kupendekeza jina la urai kupitia ccm, lowasa Vs sita bado wapo wakina mwandosya sumaye mwinyi mdogo na membe kazi ipo

... Na yule kaimu wa Ban Ki Moon. Membe siyo chaguo la jamaa tena sababu ameshindwa homework aliyopewa ya kuipeleka nchi OIC.
 
Na bado anavyotaka kujiweka kifua mbele katika urais ndipo anapo warudisha watu kulee!
Anawakumbusha watu hasira.
Hizi tamaa huyu EL angejikalia akaendelea kujitafunia keki yake huko!
 
..kati ya Samuel Sitta na Edward Lowassa sioni anayefaa.

..Sitta ana kashfa ya kutumia mabilioni ya fedha kujenga ofisi ya spika jimboni kwake Urambo kana kwamba alitarajia atakuwa spika wa maisha, na mrithi wake atatoka Urambo.
 
Mojawapo ya maamuzi magumu ambayo serikali inashindwa kuyachukua ni kumkamata na kumchukulia hatua aliekua Waziri wa Nishati wakati IPTL inaingia Bw. Mrisho Jakaya.
Huyu ndie aliesababisha bei ya umeme kupaa kwa kukubali kuingia mkataba wa kumalipa mabilion hata kama hawazalishi.
 
hivi ile wiki yake ya kuwa kiongozi wa shuguli za serekali bungeni iliisha? au ndo anamalizia kiaina?

sita noma. nilijua tu lazima ataacha headlines na sijui kama atapewa tena hiyo nafasi, lakini meseji senti
Mkuu huyo waziri ndiye anayemshikia pinda siyo Six
106dlxt.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom