Kila kukicha tunashauri tubane matumizi katika kila eneo, sasa mimi nikiwa mwanchi wa kawaida kabisa nashauri yafuatayo kwa Watawala kuhusu kupunguza matumizi makubwa ya Serikali.
(1) Wananchi tumeshuhudia misafara mikubwa ya magari ya umma yakisindikiza misafara ya Viongozi Wakuu mfano Mhe. Rais, Makamu wa Rais, Mhe. Waziri Mkuu, Wahe. Mawaziri, Mhe. Makonda na wengineo.
Utakuta katika msafara moja magari siyo chini ya 40. Msafara huu unatumia mafuta, posho, chakula, malazi n.k. Ukilinganisha msafara wa siku moja, gharama yake inaweza kujenga
Kituo kimoja cha Afya. Sisi ni nchi maskini kwa nini Watawala wakachukua uamuzi mgumu kuwa katika msafara moja kuwe na angalau magari yasiyozidi kumi.
Ushauri wangu kwa Watawala tupunguze matumizi ambayo siyo ya lazima.
(1) Wananchi tumeshuhudia misafara mikubwa ya magari ya umma yakisindikiza misafara ya Viongozi Wakuu mfano Mhe. Rais, Makamu wa Rais, Mhe. Waziri Mkuu, Wahe. Mawaziri, Mhe. Makonda na wengineo.
Utakuta katika msafara moja magari siyo chini ya 40. Msafara huu unatumia mafuta, posho, chakula, malazi n.k. Ukilinganisha msafara wa siku moja, gharama yake inaweza kujenga
Kituo kimoja cha Afya. Sisi ni nchi maskini kwa nini Watawala wakachukua uamuzi mgumu kuwa katika msafara moja kuwe na angalau magari yasiyozidi kumi.
Ushauri wangu kwa Watawala tupunguze matumizi ambayo siyo ya lazima.