TANZIA Waziri Salome Mbatia afariki dunia, maswali yaibuka!

Mtanzania unachosema ni kweli ila pia kuna ukweli kwenye argument hiyo nyingine kuwa ubovu wa barabara sio tu unachangia kwenye ajali Tanzania bali pia unakwamisha shughuli nyingi sana za kuinua uchumi kitu ambacho kinapelekea watu kuwa masikini na wengine kufa kwa njaa au kufa kwa kukosa usafiri mzuri na wa haraka wa kuwapeleka hospitalini.

Mwafrika wa Kie,

Ubovu wa barabara ni kweli unachangia ajali. Hoja yangu ilikuwa inahusu udogo wa barabara na wala sio ubovu.

Shimo lililoachwa bila kufikiwa barabarani linaweza kusababisha ajali hata kwa dereva mzuri. .

Barabara ya kwenda Mbeya inaongoza kwenye ajali wakati ni katika barabara nzuri sana kwa TZ. Pia barabara ya kwenda Moshi nayo nzuri lakini pia ina ajari nyingi sana.

Barabara pekee ambayo naona labda kuna haja ya kuipanua ni hii ya kutoka Dar mpaka Morogoro, maana hapo katikati kuna magari mengi. Ukienda Moshi kuna wakati unaendesha hata nusu saa hujapishana na gari, sasa hapo kuongeza upana wa barabara si ni kupoteza pesa tu. Afadhali hizo pesa zijengee barabara huko Lindi au Rukwa.
 
"Mbunge ambaye hajathibitika jina"...hilo linawezekana vipi katika bunge lenye wabunge takribani 250, na waaandishi ndo wenye jukumu la kuwajua wabunge wengi zaidi kuliko hata wananchi wa kawaida, tena wa serikali, tena katika tukio muhimu na la kipekee kama hilo....waliwezaje kupata jina la waziri mkuu, matayo, na wengineo, ambao hawakuchukua majeruhi kuwakimbiza hospitali, waliwezaje, na wakashindwa kuthibitisha jina la mbunge ?

Unafiki tu usio na msingi, kisha mhariri naye anachapisha habari ambayo hata mwananchi wa kawaida atahoji imekuwaje mbunge aliyetoa taarifa polisi na kuwapeleka majeruhi hospitali asifahamike...what a crap????
Dereva wa Fuso T 299 AFJ naye alikufa papo hapo, wakati majeruhi
wengine ambao idadi, jinsia na majina yao hayajafahamika, inasemekana walikimbizwa hospitali kwa msaada wa Mbunge mmoja ambaye hajathibitika jina, anayesemekana alifika hapo muda mfupi baada ya tukio.
http://www.dailynews-tsn.com/habarileo/page.php?id=4844
 
"Mbunge ambaye hajathibitika jina"...hilo linawezekana vipi katika bunge lenye wabunge takribani 250, na waaandishi ndo wenye jukumu la kuwajua wabunge wengi zaidi kuliko hata wananchi wa kawaida, tena wa serikali, tena katika tukio muhimu na la kipekee kama hilo....waliwezaje kupata jina la waziri mkuu, matayo, na wengineo, ambao hawakuchukua majeruhi kuwakimbiza hospitali, waliwezaje, na wakashindwa kuthibitisha jina la mbunge ?

Unafiki tu usio na msingi, kisha mhariri naye anachapisha habari ambayo hata mwananchi wa kawaida atahoji imekuwaje mbunge aliyetoa taarifa polisi na kuwapeleka majeruhi hospitali asifahamike...what a crap????

Utawaweza hao...

Unafiki tu na wivu ndio vimewajaa. Rostam Aziz ni mtu wa hatari sana kwa nchi yetu na inabidi azuiwe kabla hayatumbukiza nchi katika matatizo. Aliwamaliza wapinzani kibao wa kikwete ndani ya ccm na sasa amepata another front!
 
jamani kumbe zitto katoa msaada ili ajinufaishe kisiasa? mbona sumaye alikuwepo, mh mathayo na hatuwasikii, iweje iwe yeye tu?

msiba haupaswi kutumika kisiasa kujitoa namna hii.

ndiomaana akapiga mapicha na kumletea mzee Ole aonekane kafanyakazi, loooh hii hasara kubwa.
 
jamani kumbe zitto katoa msaada ili ajinufaishe kisiasa? mbona sumaye alikuwepo, mh mathayo na hatuwasikii, iweje iwe yeye tu?

msiba haupaswi kutumika kisiasa kujitoa namna hii.

ndiomaana akapiga mapicha na kumletea mzee Ole aonekane kafanyakazi, loooh hii hasara kubwa.
Hapa anaelalamika sio Zitto bali ni wasomaji wa haya magazeti ambao wanaona double standard inafanyika katika kuripoti habari zao ili kuficha baadhi ya mambo kwa manufaa ya watu fulani. Ndio maana wengi hawayaamini haya magazeti ya serikali kutokana na pumba wanazoziandika na ukweli wanaoufichakaga. Hata Fox News Channel wanatoaga habari nzuri zinazohusu Democrats.
 
Jamaa wenye Kapelo na mashati ya CCM wananikera kweli kweli hapo msibani....ama ndo wanajitafutia umaarufu kisiasa!! very cheap!! Kazi kweli kweli ushabiki mwingine ni ulimbukeni wa first class teh teh teh!!
 
jamani kumbe zitto katoa msaada ili ajinufaishe kisiasa? mbona sumaye alikuwepo, mh mathayo na hatuwasikii, iweje iwe yeye tu?

msiba haupaswi kutumika kisiasa kujitoa namna hii.

ndiomaana akapiga mapicha na kumletea mzee Ole aonekane kafanyakazi, loooh hii hasara kubwa.


HAve a look on this:

Naibu Waziri wa Kilimo na Ushirika, Dk. David Matayo na Waziri Mkuu mstaafu Frederick Sumaye ambao nao inaaminika wako katika safari za kampeni kama hiyo, walifika eneo la ajali muda mfupi baada ya kutokea na walionekana kuwa na majonzi wakati mwili wake ulipofikishwa kuhifadhiwa katika hospitali ya Kibena.

Thena have a look on this:

Dereva wa Fuso T 299 AFJ naye alikufa papo hapo, wakati majeruhi wengine ambao idadi, jinsia na majina yao hayajafahamika, inasemekana walikimbizwa hospitali kwa msaada wa Mbunge mmoja ambaye hajathibitika jina, anayesemekana alifika hapo muda mfupi baada ya tukio
From the same source:http://www.dailynews-tsn.com/habarileo/page.php?id=4844

au mkuu ndo hutaki kuona kabisa?
 
Nimezungumza na mhariri wa Habari Leo kuhusu suala hili na madai yake ni kuwa wao walikuwa wanafuata maadili tu ya uandishi kwani aliyewapa taarifa za ajali hakuwa tayari kuwatajia jina la Zitto ila hayo mengine. Na amenihakikishia kuwa halikuwa lengo la gazeti hilo kuingiza siasa hapo na anadai siyo fair kwa watu kudai kuwa Habari Leo limeripoti kwa mtazamo wa kisiasa.
 
Big up Nakulilia Tanzania....

Unadhani hata alisoma hiyo habari kabla ya kuandika?

Kila time nawaambia kuwa hapa JF yataka ufikirie sana kabla ya kuandika kitu ila wao hawasikii.

Mpe shule
 
Nimezungumza na mhariri wa Habari Leo kuhusu suala hili na madai yake ni kuwa wao walikuwa wanafuata maadili tu ya uandishi kwani aliyewapa taarifa za ajali hakuwa tayari kuwatajia jina la Zitto ila hayo mengine. Na amenihakikishia kuwa halikuwa lengo la gazeti hilo kuingiza siasa hapo na anadai siyo fair kwa watu kudai kuwa Habari Leo limeripoti kwa mtazamo wa kisiasa.

Akili ya kawaida inanituma kuwa sio vizuri kurely kwenye 'chanzo' kimoja cha habari,

Pili, akili ya kawaida inaniambia kuwa chanzo hicho kilikuwa biased na mhariri alitakiwa alione hilo kabla hajachapisha hiyo habari, hata kama habari yenyewe ni 'hot' kama hiyo ili kulinda credibility ya gazeti!

Yaani mhariri anakubali kuandika habari ambayo chanzo chake kinaficha baadhi ya habari? Mhariri huyo yupo serious kweli?
 
Jamaa wenye Kapelo na mashati ya CCM wananikera kweli kweli hapo msibani....ama ndo wanajitafutia umaarufu kisiasa!! very cheap!! Kazi kweli kweli ushabiki mwingine ni ulimbukeni wa first class teh teh teh!! ama ni zile walizopewa 2005 wakati wa uchaguzi?
 
Hata mimi ndio nashangaa, je hiyo habari waliipata kutoka kwa mwandishi wao? Au walipewa habari hiyo na mtu binafsi,

*Je waliithibitisha hiyo habari kwa kutafuta vyanzo vingine? Au walitegemea chanzo hicho kimoja tu.

*Je kama huyo aliyewapa habari angewaambia kuwa Salome Mbatia hakufariki je wangeandika moja kwa moja bila ya kuthibitisha?

*Yeye kama Mhariri alifanya lipi kuhakikisha ukweli wa habari hiyo.

Mwanakijiji huyo Mhariri myeyushaji tu hana lolote.
 
Au huyo dereva alipewa tenda ya "kummaliza mtu" (probably Zitto or Sumaye) mithili ya Dumisane Dube alivyomtoa roho Edward Moringe Sokoine?Anyway,dont mind,I'm just a useless conspirancy theorist thinking aloud....;)
 
Au huyo dereva alipewa tenda ya "kummaliza mtu" (probably Zitto or Sumaye) mithili ya Dumisane Dube alivyomtoa roho Edward Moringe Sokoine?Anyway,dont mind,I'm just a useless conspirancy theorist thinking aloud....;)

The assasination scheme that went wrong! you may be right.
 
Jamaa wenye Kapelo na mashati ya CCM wananikera kweli kweli hapo msibani....ama ndo wanajitafutia umaarufu kisiasa!! very cheap!! Kazi kweli kweli ushabiki mwingine ni ulimbukeni wa first class teh teh teh!! ama ni zile walizopewa 2005 wakati wa uchaguzi?

Guys too soon to think about this. Ziito was on the spot he was supposed to be the first to think of consipacy but he didn't, so let us not do this. Inawezekana kabisa hii ni ajali ajali
 
Back
Top Bottom