Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,483
- 40,008
geeque, hakufanya lolote ati "wangempa ushujaa wa bure"..
Kuna ulazima gani kuvaa jezi za chama ambacho tena kinatawala, wana wasiwasi gani hadi kuwa na tabia za kiajabu ajabu. Sasa kumbe kiongozi akifariki tuwaachie wazike peke yao. Hii ni tabia mbaya ambayo inataka kuwagawa Watanzania na inastahili kukemewa kwa nguvu zote. Natumaini kusikia tamko rasmi kutoka CCM.
akaamua kumchukua kijana ambaye wamekuwa naye siku nyingi nyumbani na ambaye amejifunza gari pale nyumbani na kusafiri naye.
Ajali ilisababishwa na dereva wa lori kula roger (kuibia kwenye kona) na gari la Nissan lilikuwa na mwendo wa kasi na dereva asiyekuwa na uzoefu.
Kuna ulazima gani kuvaa jezi za chama ambacho tena kinatawala, wana wasiwasi gani hadi kuwa na tabia za kiajabu ajabu. Sasa kumbe kiongozi akifariki tuwaachie wazike peke yao. Hii ni tabia mbaya ambayo inataka kuwagawa Watanzania na inastahili kukemewa kwa nguvu zote. Natumaini kusikia tamko rasmi kutoka CCM.
jamani kumbe zitto katoa msaada ili ajinufaishe kisiasa? mbona sumaye alikuwepo, mh mathayo na hatuwasikii, iweje iwe yeye tu?
msiba haupaswi kutumika kisiasa kujitoa namna hii.
ndiomaana akapiga mapicha na kumletea mzee Ole aonekane kafanyakazi, loooh hii hasara kubwa.
Wondering... where Brazameni is....
Wakuu mi naomba kuuliza, Mwili wa dereva aka house boy haukuletwa na hiyo ndege? Kama ndio, mbona haitakuwa haki kuuacha mwili wa huyo kijana huko Iringa?