Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 264
"Mishahara ya askari wa Kikosi cha Kuzuia Magendo Zanzibar (KMKM), kiasi cha Sh. milioni 92.2,lliibiwa katika Makao Makuu ya kikosi hicho, Kibweni, nje kidogo ya Mji wa Zanzibar"
"Zaidi ya Sh. milioni 14 ikiwa ni mishahara ya askari wa Kikosi cha Kujenga Uchumi (JKU) imeibwa na watu wasiojuilikana kutoka Makao Makuu ya Jeshi hilo."
"Zaidi ya Sh. milioni 20 za mishahara ya ya askari wa kikosi cha Zimamoto na Uokoaji Zanzibar imeibwa"
Cha ajabu baada ya kuibiwa fedha zote hizi Walioshtakiwa walikuwa watu chini kabisa ambao wengi wao wamepoteza kazi. Huku wakuu wa vikosi hivyo na Wasaidizi wao ambao hata chunguzi za Polisi zilizofanyika walitakiwa wapelekwe mhakamani hawakuguswa na mpaka sasa wanakula raha na wanatumbua mapesa hayo. Jee kweli wizi huuu unaweza kufanywa na askari wa Chini kama hawa hasa ktk kambi zenye ulinzi mkali?.Waziri nyanga mwenyedhamana ya vikosi anawalinda wakubwa hao ,Nao CUF ndani ya barza la wawkilishi wako kimya hwalipiganii kelele jambo hili kwa kuwa halikutokea Mtambwe nao kwahiyo nao ni mafisadi wa siasa. Mh Bimani nae kwa hili ni fisadi wa mawazo?
"Zaidi ya Sh. milioni 14 ikiwa ni mishahara ya askari wa Kikosi cha Kujenga Uchumi (JKU) imeibwa na watu wasiojuilikana kutoka Makao Makuu ya Jeshi hilo."
"Zaidi ya Sh. milioni 20 za mishahara ya ya askari wa kikosi cha Zimamoto na Uokoaji Zanzibar imeibwa"
Cha ajabu baada ya kuibiwa fedha zote hizi Walioshtakiwa walikuwa watu chini kabisa ambao wengi wao wamepoteza kazi. Huku wakuu wa vikosi hivyo na Wasaidizi wao ambao hata chunguzi za Polisi zilizofanyika walitakiwa wapelekwe mhakamani hawakuguswa na mpaka sasa wanakula raha na wanatumbua mapesa hayo. Jee kweli wizi huuu unaweza kufanywa na askari wa Chini kama hawa hasa ktk kambi zenye ulinzi mkali?.Waziri nyanga mwenyedhamana ya vikosi anawalinda wakubwa hao ,Nao CUF ndani ya barza la wawkilishi wako kimya hwalipiganii kelele jambo hili kwa kuwa halikutokea Mtambwe nao kwahiyo nao ni mafisadi wa siasa. Mh Bimani nae kwa hili ni fisadi wa mawazo?
Last edited by a moderator: