Fitinamwiko
JF-Expert Member
- Aug 13, 2012
- 4,803
- 1,416
Kyembe na Ph D yake bado hajafanikiwa, anajitapa kuwasaidia wanasanaa? Hivi kyembe anamjua ICE T na cop killer, anawajua Ice Cube, Dr. Dre from NWA. he needs to go to heck
Taifa linazidi kukosa watu makini sijui tumekosea wapi
Shida kweli.........najaribu kufikiria Watoto wa huyu Mzee wanaishi maisha gani huko mtaani.......hivi huyu Mzee hanaga aibu?
Shida kweli.........najaribu kufikiria Watoto wa huyu Mzee wanaishi maisha gani huko mtaani.......hivi huyu Mzee hanaga aibu?
Hivi dogo unatumia kiungo gani kufikiri?