Waziri Mwakyembe: Msanii anayetaka kuzungumzia siasa, akagombee ubunge au udiwani

Nucky Thompson

JF-Expert Member
Sep 20, 2016
1,817
4,058
Akijibu hoja ya Profesa Jay kuwa wasanii wakiimba nyimbo za siasa kuhihoji serikali wamekuwa wakinyanyaswa ila wakiimba nyimbo za kuisifia tu wanaachwa Mwakyembe amejibu kuwa wasanii hawatakiwi kuimba nyimbo za siasa na kama wanataka kuzungumzia siasa basi wagombee udiwani au ubunge.

Amesema hakuna mwanamuziki yoyote duniani aliyefanikiwa kwa kuikandia serikali, ametembelea nchi kama Nigeria na wasanii waliofanikiwa kama wakina P Square,Tiwa Savage, Davido ni wasanii wenye mafanikio lakini hawajapata mafanikio hayo kwa kuitukana serikali.

Muziki ni entaritainment industry na sio political Indusrty na hata Afrika Mashariki wasanii kama Chamilione na akina Diamond na Ali Kiba wana mafanikio lakini hawaimbi siasa.

Amemtolea mfano msanii mmoja Fella Ramson Kuti aliyeimba siasa na akaishia pabaya.

 
Nadhani Dr. ameshindwa kuelewa maana ya usanii au sanaa, pia ameshindwa kuelewa lengo lake la awali tofauti na commercial kama ilivyosasa. ni vizuri ku-revisit masomo ya sanaa ili apate elimu kidogo then wasanii waachwe wawe huru kuimba nyimbo za kuelimisha jamii katika nyanja yoyote.
 
Mwakyembe hapo hapana, kwanza sio kuwa wabaitukana serikali bali hutoa mawazo yao na kukosoa pale serikali inapofanya isivyo. Akina Lucky Dube waliimba kukosoa utawala wa kibaguzi huko south na walisaidia, je hiyo sio siasa? Muziki ni sehemu muhimu ya kueezs kutoa mawazo ya kukosoa ama kusifia
 
Akijibu hoja ya Profesa Jay kuwa wasanii wakiimba nyimbo za siasa kuhihoji serikali wamekuwa wakinyanyaswa ila wakiimba nyimbo za kuisifia tu wanaachwa Mwakyembe amejibu kuwa wasanii hawatakiwi kuimba nyimbo za siasa na kama wanataka kuzungumzia siasa basi wagombee udiwani au ubunge.

Amesema hakuna mwanamuziki yoyote duniani aliyefanikiwa kwa kuikandia serikali, ametembelea nchi kama Nigeria na wasanii waliofanikiwa kama wakina P Square,Tiwa Savage, Davido ni wasanii wenye mafanikio lakini hawajapata mafanikio hayo kwa kuitukana serikali.

Muziki ni entaritainment industry na sio political Indusrty na hata Afrika Mashariki wasanii kama Chamilione na akina Diamond na Ali Kiba wana mafanikio lakini hawaimbi siasa.

Amemtolea mfano msanii mmoja Fella Ramson Kuti aliyeimba siasa na akaishia pabaya.


nachelea kusema vyuo vya tanzania sio kwa ajili ya kuandaa wasomi wene weledi badi vipo hapo kwa matakwa ya wanasiasa
hili jibu nadhani hata standard four asingeweza kulitoa
f?><k>" politics
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom