Crucial Man
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 3,404
- 1,307
cant believe this.so pinda anajaribu kutuambia kwamba wanatunishiana misuli na madoc.Omg
kama wana hizo pesa za kuwalipa hao madaktari wa Russia (ambao kipato chao ndani ya Russia ni kikubwa kuliko cha madaktari wa Tz, pia mazingira yao ya kazi ni bora zaidi.... Take it from me!) pamoja na hao wa Cuba, kwa nini wapoteze hizo pesa? kwa ajili ya thamani kubwa sana ya Mponda na Nkya? Na wataweza kuwamaintain hao madaktari wa nje mpaka lini? Kutishiana nyau watu wazima tu huku!!! Acha utani!Serikali imeagiza madaktari Cuba na Russia
Wanasubiri waone jinsi watu watakavyokufa kutokana na mgomo ndio wachukue hatua! kazi tunayoNi TBC news ya Saa 10 alasiri, Waziri mkuu amesema wanasubiri waone kinachoendelea na wamejiandaa vema kukabiliana na hali itakayotokea.
Wanasema misimamo kama serikali na baadae wanakaa tena kufikia muafaka.
Anayetesa wananchi kwa sasa ni Waziri na Afya na naibu wake, Nadhani wangekubali kuwa wao ndiyo kero namba 1 wakajishusha kuokoa taifa.
Acha tuone kama wanakuja Doctors kutoka China au la
Kuna habari kuwa serikali inatayarisha Tangazo la ajira kwa nafasi za Udaktari na udaktari bingwa haraka iwezekanavyo.
Je, hii inaweza kuwa long term solution ya matatizo ya mgomo wa madaktari.
kuna habari kuwa serikali inatayarisha tangazo la ajira kwa nafasi za udaktari na udaktari bingwa haraka iwezekanavyo.
Je, hii inaweza kuwa long term solution ya matatizo ya mgomo wa madaktari.
Kuna habari kuwa serikali inatayarisha Tangazo la ajira kwa nafasi za Udaktari na udaktari bingwa haraka iwezekanavyo.
Je, hii inaweza kuwa long term solution ya matatizo ya mgomo wa madaktari.
huyu ni ***** tu! hata kingereza chake ni broken, anatuletea sisi watu wazima hapa! (huwezi kusema intellectual yao ukitumia simple grammar, aende akarudie madaftari yake ya shule ya msingi kabla ya majigambo na kingereza chake cha ugoko!)binafsi naona madoctas wamejaa misifa ya kijinga vichwani mwao. sababu inayowafanya wagome ni kwa ajili ya lucy na haji tu? this is crazy. wakijiuzulu hawa wawili then what? mimi nashangaa wameacha kushughulikia mambo ya msingi sasa wanahangaika ni vitu vya kipuuzi. interlectual yao iko wapo. mbona naona pumba tu kwenye vichwa vyao.
sasa daktari Bingwa atakua hana kazi huko aliko ? atakua anakunywa chimpumu na mkewe ? ama atakua anauza Gongo ?
anakuwaje Bingwa bila kazi jamani ? UPUNGUANI UNAWAZUNGUKA WAATENDAJI WETU WAKUU