Waziri Mkuu: Tumejiandaa vema kupambana na mgomo wa madaktari

Ni week chache tu Pinda alikula matapishi yake baada ya kujidai kuwafukuza madaktari ambao hawakurudi kazini, lakini naona appetite yake ya kula matapishi inarudi tena. Kama madaktari hawata-apply itakuwa vipi? Atamwangukia nani?
 
Hata kule kenya shirika la utangazaji kbc wafanyakazi wake wapogoma serikali ilitangaza ajira mpya haraka mara wakasitisha. Hivi ni vitendawili majibu yake mpaka tupewe mji na tukubali lasivyo jibu hatutolijua.
 
hii siyo tetesi ni kweli, serikali inataka kuajili madaktari na madaktari wa sasa watatakiwa kuomba ajira upya.

Nice move.
mbinu za kuwatishia watoto wa vyuo wakigoma wanadhani ita work kwa madaktari ambao hakuna asie na kazi na walio katika sekta umma hawajawahi kuomba kazi.

Natilia shaka uweledi wa pinda kama msomi na kiongozi mkuu wa serikali, viatu vimekua vikubwa sana kwake.

 
wataomba upya halafu wataendelea kugoma.halafu wakati zoezi hilo likiendelea huduma ktk hospitali zetu itatolewa na na nani?
 
Kuna habari kuwa serikali inatayarisha Tangazo la ajira kwa nafasi za Udaktari na udaktari bingwa haraka iwezekanavyo.

Je, hii inaweza kuwa long term solution ya matatizo ya mgomo wa madaktari.
Mta tapatapa sana......labda ongeeni na Professor Maji Marefu asiye na kazi au serikali isitise watu kuugua hadi itakapo train wengine baada ya miaka 7.
 
kwani kuna madaktari ambao hawana kazi hapa nchini?
Hiyo hela itakayotumika kwa ajira mpya kwa nini isitumikew kulipa madai ya waalimu kwanzza?

Very good question, kuna daktari hapa Tz ambaye ni jobless? Waliopo hawatoshi, hata hao wanajeshi huko wanakotoka hawatoshi! Hamna shortcut ya kuziba hii void.
 
Ni week chache tu Pinda alikula matapishi yake baada ya kujidai kuwafukuza madaktari ambao hawakurudi kazini, lakini naona appetite yake ya kula matapishi inarudi tena. Kama madaktari hawata-apply itakuwa vipi? Atamwangukia nani?

Pinda anacheza kiduku tu,sasa wakitangaza ajira,je wasipoapply je itakuwaje? Si mgomo ndio utazidi kua mkubwa? Pinda na jeikei fukuza tu hao kina mponda na nkya,hapo kishanuka no holdingback!!
 
Safiii,, hiyo ndiyo dawa,, Ndiyo dawa haswa ya paka mramba tui,, kama hataki panya na wali usimpe
kazi kweli kweli! hivi mnafikiri kuwa madaktari wamezagaa zagaa mtaani wanatafuta ajira? guys, remember one thing, these are highly qualified proffessionals! tushukuru mungu safari hii kwenye mgomo wao hawana mpango wa kuondoka nchini waende nchi zingine kufanya kazi (eg. Rwanda tu wanapewa 2500$, nyumba na usafiri), safari hii serikali inadeal na vijana wazalendo! secondly, hao madaktari watakaoajiriwa ndio hawapo kwenye mgomo? ndio bado hawajaajiriwa? tehetehtehe! so ignorant you are!
 
He he he watatokea wapi?kuna daktari jobless?labda nkya lucy aende akaombe kazi........ When u deal with intelectuals you have to be very carefull mr pinda
 
Kuna habari kuwa serikali inatayarisha Tangazo la ajira kwa nafasi za Udaktari na udaktari bingwa haraka iwezekanavyo.

Je, hii inaweza kuwa long term solution ya matatizo ya mgomo wa madaktari.

One word response to this: UTOPIA.
 
Mkuu kwa kifupi ajira za madaktari wa serikali zinafutwa na kuajiliwa upya, wanasheria watatuelezea kisheria hii imekaaje.

all in all, big up Pinda.
NI Jambo la kushangaza kufikiri kuwa unaweza kucheza na madaktari kitoto hivyo, hahaaaah unaweza kucheza na wajinga lakini si wasomi walioelimika,
Pinda ameshindwa kufikiri sawasawa, anatenda chini ya uwezo wa kijana wa miaka 20.

 
Serikali imeagiza madaktari Cuba na Russia

sipati picha wauguzi wa certificate watakavyokuwa wanazungumza kichna na hao madktari. Chi cho chan. Muuguzi analeta mkasi kumbe alimaanisha lete bandage.
Ila hata hawa wachina sijui wakyuba. Wanakuja kwa gharama ndo zaidi ya madai ya madokta?
 
hao wachina watatibu private hospitals?

No Need, all Doctors will be there as usual. Kwa kiasi fulani huduma katika hospitali za serikali zinazorota kwa vile madaktari wanakuwa serious zaidi katika hospitali za binafsi (part time?) kuliko za govt.
 
Kuna habari kuwa serikali inatayarisha Tangazo la ajira kwa nafasi za Udaktari na udaktari bingwa haraka iwezekanavyo.

Je, hii inaweza kuwa long term solution ya matatizo ya mgomo wa madaktari.

Itakua serikali ya comedians hiyo,madaktari wanavyofanya kazi hospital tatu tatu na bado hawatoshi,wanahitajika wengine zaidi,hao wapya wa kuwaajiri na kujaza gap la waliogoma watawatoa wapi?wasilete vichekesho
 
Back
Top Bottom