MAGEUZI KWELI
JF-Expert Member
- Jul 16, 2011
- 1,947
- 253
Ni TBC news ya Saa 10 alasiri, Waziri mkuu amesema wanasubiri waone kinachoendelea na wamejiandaa vema kukabiliana na hali itakayotokea.
Wanasema misimamo kama serikali na baadae wanakaa tena kufikia muafaka.
Anayetesa wananchi kwa sasa ni Waziri na Afya na naibu wake, Nadhani wangekubali kuwa wao ndiyo kero namba 1 wakajishusha kuokoa taifa.
Acha tuone kama wanakuja Doctors kutoka China au la
Wanasema misimamo kama serikali na baadae wanakaa tena kufikia muafaka.
Anayetesa wananchi kwa sasa ni Waziri na Afya na naibu wake, Nadhani wangekubali kuwa wao ndiyo kero namba 1 wakajishusha kuokoa taifa.
Acha tuone kama wanakuja Doctors kutoka China au la